semmy samson
Member
- Dec 20, 2010
- 85
- 0
Jamani wadau tusaidiane kwa hili kujivua gamba ni term ambayo tunaitumia kisayansi hasa kwa reptilia katika swala la ukuaji sasa hawa wanaolitumia kisiasa wanamaanisha wanatoka stage moja ya ufisad kwenda nyingine au? HELP ME PLZ