chumvichumvi
JF-Expert Member
- May 6, 2010
- 1,206
- 304
nilikuwa nasoma katiba siku chache zilizopita ili hali kutafuta kipengele kinachosema migomo au mgomo ni haki ya mwananchi wa Tanzania sasa cjui ni overlook as hicho kipengele sikukiona instead niliona kimoja kilichosema right to assemble ambapo tafsiri yake kwa haraka haraka naweza sema ni haki ya kukusanyika je kunatofauti gani kati ya kukusanyika na kugoma kama hamna migomo itakuwa ni haki ya nini au haki inayotokana na sheria zipi?​