King Kong III
JF-Expert Member
- Oct 15, 2010
- 51,603
- 68,509
Nakumbuka wakati nipo kayumba primary school tulifundishwa kwamba serikali inakusanya kodi hili iweze kununua dawa hosptal,kujenga barabara,kulipa wafanyakazi,kuleta maji,umeme etc,sasa najiuliza kodi nakatwa kila mwezi lkn still nikienda hospto dawa hakuna,barabara zote ni misaada,net za mbu nazo misaada,umeme ndio kama hvyo unasuasua na bei ndio usiseme etc,swali langu kodi yangu inanisaidia wapi?