Ennie
JF-Expert Member
- Jan 15, 2011
- 7,137
- 4,122
kaaa,we ulikuwa muoga sana,haya useme vyoote ulivyofanya,maana kwa uoga huo utakuwa umefanya mambo makubwa zaidi ya hilo
Na wewe! Kwani hilo halitoshi?
kaaa,we ulikuwa muoga sana,haya useme vyoote ulivyofanya,maana kwa uoga huo utakuwa umefanya mambo makubwa zaidi ya hilo
Mimi nakumbuka nikiwa darasa la kwanza, Mother mmoja jirani alinituma chumbani kwake nikamletee chupi mwanae. Mie nilipofika chumbani kwake nikabugi mahesabu nikadhani kanituma chupi yake na kumpelekea. Weee nilikula bakora za kutosha!