Hivi Kilango ni nani?

Anao watoto wakubwa ambao aliwapata kabla ya kukutana na Malecela. Sijui hao watoto kama walikuwa wa ndoa au vipi.



Mme wake wa ndoa alikuwa ni kaka yake mke wa Keenja. Hivyo mke wa Keenja na Kilango ni mawifi. Na hao watoto ni wa hiyo ndoa
 
Realy gold diger halafu mshambenga yani kama leo Tundu lissu anasema akili zao zinakutu hajakosea
 
Unataka kujua kilango wewe ???? Ni mke wa mtu shida yako yakumjui ni lipi ???? Ni mbunge wa same period. Acha kufuata fuata mke wa mtu. Kumjua enda bungeni.
 
Wewe acha kuchunguza maisha ya watu. Unataka kujua nini zaidi ??? Watoto ni ya Mama Kilango --- unataka kuoa mwanae au ??? Sema basi kuliko mastori mengi
 
Have you witness her being a GOLD DIGER ???? Stop this nonesense. Do not get into private life ya watu ni vibaya sana. Much as I know she is a brave, intelligent woman. Kama ni Gold Diger or not it's no one's business --- MIND YOUR OWN BUSINESS. I would not like my wife to be degraded therefore I would not like any woman to be so degraded STOP THIS SILLY TALK
 
Eti nani Mtanzania na nani sio Mtanzania ??? Eboo Kilango amezaliwa UPARENI jamani acheni yenu
 
annakilangomalecela_500x446.jpg


The United States Chargé d'Affaires Larry André (right) presents a certificate to Member of Parliament for Same East constituency in Kilimanjaro Region, the Honorable Anne Kilango Malecela, (left) who was selected as the 2009 Tanzanian Woman of Courage.



U.S. Embassy Recognizes Mama Kilango Malecela as 2009 Tanzanian Woman of Courage

March 26, 2009
The United States Chargé d'Affaires Larry André today presented a certificate to Member of Parliament for Same East constituency in Kilimanjaro Region, the Honorable Anne Kilango Malecela, who was selected as the 2009 Tanzanian Woman of Courage by the U.S. Embassy in Dar es Salaam.

According to a statement from the U.S. Embassy, the annual award was established to recognize women who have shown exceptional courage and leadership.

The U.S. Mission in Tanzania also nominated Ms. Malecela as this year's candidate for the 2009 International Women of Courage Award for distinguishing herself by challenging the leadership in her own party to confront the question of corruption. In doing so, she broke from the political custom despite facing personal threats to her own safety. She persevered in her determination to fight corruption and asked tough questions that contributed to advance efforts of transparency and good governance within the ruling party.

Presenting the certificate to Ms. Malecela at a luncheon in her honor and in recognition of Women's History Month, Mr. Andre said, "Achieving the United States' mission of advancing democracy, prosperity and security worldwide is not possible without the empowerment of women. If women cannot participate in the political process, there can be no real democracy. If women are deprived of economic opportunity, development is crippled. If women are not educated, they cannot pass knowledge to their children and there is no true security for the next generation. Through this annual award the United States honors the courage of extraordinary women who have played transformative roles in their societies."

The 2009 International Woman of Courage Award for Africa went to Ms. Hadizatou Mani of Niger, who was sold into slavery at the age of 12 for the equivalent of $500. Ms. Mani, one of the many heroes fighting to end the vestiges of modern day slavery, persevered in gaining her independence and is now helping pave the way for others trapped in similar circumstances to seek justice, civil liberties, and freedom.

On the occasion of International Women's Day 2009, U.S. President Barack Obama said, "From the global challenge of climate change, to a world that is not yet free from poverty and conflict, our challenges are many. Women are vital to the solutions to these problems, and we will not sow the seeds for a brighter future or reap the benefits of the change we need without the full and active participation of women around the world. Worldwide, women play leadership roles in the health and education of our families, in our fields, our factories, our classrooms, our laboratories, and our boardrooms. With or without awards or acknowledgement, women have taught us about hope, about courage, and about opportunity. The United States is filled with great hope that our daughters, and the daughters of all nations, will continue to serve as leaders in the pursuit of our collective well-being and have the opportunity to achieve their full potential. Today, Michelle and I remember, celebrate, and honor the sacrifices, talents and leadership of women around the world.

The first Tanzanian Woman of Courage Award was given in 2008 to Helen Kijo-Bisimba, from the Legal and Human Rights Centre for her work in supporting and strengthening Women's Rights.
 
Hiki kimama ni opportunist. Kinabwabwaja bungeni kwa sauti kali as if kweli kina uchungu na watanzania kumbe kinalenga kujinufaisha binafsi. Ndiyo maana kilishindwa kuishi na mume aliyekizalisha. Mzee wa watu Malecela ni mpole ndiyo maana wanaendelea kuishi. Inasemekana hela ndiyo mungu wake. Ndiyo maana Patel alifanikiwa kufanya mambo yake kupitia mikono ya hicho kimama. Sikipendiiiii yaaaani basi tuuu.
 
Ndiyo maana naipenda jamiiforums. nawashukuru wote waliotoa maelezo kujibu swali la Kilango ni nani. Huyo ni public figure kumjadili na kumfahamu siyo kwa lengo baya. kama unataka kufanya shughuli za wananchi hasa za kuwawakilisha wananchi huwezi kuepuka hamu ya watu kukufahamu. Pamoja na kwamba wengine katika kuchangia wamechukizwa na suala la kumfahamu Kilango, sikubaliani kuwa kwa kufanya hivyo kitendo hicho kimekuwa cha kujadili mambo binafsi ya mtu.
 
anna kilingo ni mbunge wa ccm na nifisadi kama walivyo mafisadi wenzake ndani ya ccm, mungu amemjaalia ana uwezo wa kupepeta mdomo hata kumzidi mzaramo sophia simba, samwel sita ndio alimsaidia kumpandisha chati pale walipofanikiwa kuwalaghai watanzani wakizani wanapinga ufisadi kumbe walikuwa wanawakumbusha watawala wasiwasahau wale wote. Mpaka leo hajawahi kukanusha tuhuma nzito kwamba walipewa mamilioni na jeetu patel kugharamia harusi yao na mzee malecela. Kwangu mimi huyu ni mbaya kuliko rostam azizi maana hawa ni vinyonga, au unaweza kumuita popo, huwa hawajulikani kama ni ndege au mnyama.

sio fisadi, acha kubwabwaja
 
Ukishindwa kupata data zake jaribu za equivqlent wake kama Asha baraka, Khadija Kopa au Sofia simba
PUMBA!!!!!!! SHIRIKISHA AKILI/UBONGO WAKO NA MIKONO YAKO WAKATI WA KUANDIKA
Mkuu umesahau!! Target yake hapa ilikuwa ni mwanamke wa kwanza (first lady) hadi akamdanganya mzee JSM aamue kujiita dume la mbegu, bulldozer na maneno kibao!!
Blah blah. huna uhakika na huwezi kuthibitisha, hence huu nu udaku
Realy gold diger halafu mshambenga yani kama leo Tundu lissu anasema akili zao zinakutu hajakosea
look at this great thinker !!ha ha ha ha !! try kuupa ushirikiano ubongo wako wakati wa kuandika hapa
Wewe *****?Kilango ni mdogo wake Mlango!
where wedare to talk openly...haitakiwi uwe na phd kujua kuwa hii pointless
Unataka kujua kilango wewe ???? Ni mke wa mtu shida yako yakumjui ni lipi ???? Ni mbunge wa same period. Acha kufuata fuata mke wa mtu. Kumjua enda bungeni.
say it again na akiendelea atakuja kupakatwa
NI mama wa mipasho na mwalimu mzuri wa kitchen party na masaidizi wake ni sofi Lion
huna uhakika na unachokinena
"kwangu mimi huyu ni mbaya kuliko Rostam Azizi maana hawa ni vinyonga, au unaweza kumuita popo, huwa hawajulikani kama ni ndege au mnyama".

Na kweli mkuu Saigon.
JF haiishi kunishangaza,huyu naye kaiba nini? wabunge wemngi wa ccm wana lala tu bungeni .hujawaona?no data no right to say .
 
Mhhh Mbona Mnamnanga hivyo muheshimuni jamani, mwana mama huyu, katusaidia sana kuwajua vizuri mafsadi papa wa CCM , wakati akipambana nao mbona haya hamkuyasema, Kumuita Mnafiki mnakosea sana Acheni kumwita "MBAKAJI" wa wazee, yaani Kumbaka mzee Malecela kwa kuwa alivutiwa naye na Kumita Dume la Mbegu ingawaje mpaka sasa hana mtoto naye, sijui mbegu hiz za John zinahitaji kwenda kwa Babu zikarutubishwe!!!!!lol
 
Back
Top Bottom