Mwakitobile
JF-Expert Member
- Oct 4, 2012
- 452
- 120
uyo mdada anayesema kibonde kaathirika mbona mzigo kampa au baada ya kumtosa ndo ameamua kutangaza,pole sake
Jiangalie nisije nikakuingilia kinyume na maumbile pasipo tarajio.
uyo mdada anayesema kibonde kaathirika mbona mzigo kampa au baada ya kumtosa ndo ameamua kutangaza,pole sake
Habari za leo wanajamii!!!
Jana jioni nikiwa ndani ya daladala narudi nyumbani kutoka kazini, Radio hewani ilikuwa ni clouds fm jahazi. Sasa ilikuwa ni ile segment ya magazeti ya leo ambapo walikuwa wanazungumzia ushauri aliotoa Dovutwa kwa raisi wa nchi kuwa ni bora angejiuzulu kwa kushindwa kushughulikia tatizo la RUSHWA NDANI YA CHAMA Kufuatia chaguzi zilizopita za ndani ya chama ambapo suala la rushwa lilikuwa nje nje.
Sasa basi huyu KILOPO bwana Kibonde akaanza eti ooh hawa waandishi wanauza magazeti kwa cheap stories za siasa maana kama ni suala la rushwa wao wanaishia kuripoti tu. Kama wao ni waandishi bora kwanini wasingeingia na kufuatilia kwa undani haya madai kupata ushahidi na vidhibiti na hatimae kuwakamata. Sasa wao wanaishia kufanya kazi za tunasikia very stupid Hapo ni mwisho wa kumnukuu.
Sasa basi mimi ninajiuliza maswali yafuatayo;
1. Katika kazi zao waandishi wa habari wanakuwa ni makachero wa rushwa??
2. Na je nini kazi ya makachero wa PCCB ambao wanalipwa vizuri tu kwa pesa za walipa kodi wengi ambao ni masikini na ndio VICTIM wa rushwa??
3. Hivi ni nini hasa kinampa huyu KIBONDE jeuri ya kuwaambia/kuita kazi za wenzie stupid?
4. Waandishi wenzie angalau wanapaza sauti na kalamu zao kuwasilisha hayo matatizo sugu,je yeye kafanya nini zaidi ya kubwabwaja pumba tu ndani ya studio na kupamba hao wala rushwa??
Mjadala upo wazi wanandugu.
Kibonde ni MC dau lake ni mil 1.5,hachagui sherehe hata kitchen party anafanya.
Huyo kibonde 1.Hapo clouds hana mkataba wa ajira ni deiwaka tu. 2.Siyo mwandishi wa habari ni Mc tu. 3.Elimu yake ni ndogo,ambayo aliipata baada ya kufanya vibaya shule(form 4 failure) 5.Kibonde na mkewe wote ni waathirika wa muda mrefu,ushaidi wa kutosha upo,labda ndiyo maana anakuwa mtu asiyejali kitu kwani maisha yake yapo matatani tayari.
Si hoja hiyo...ni upuuzi tu umeandika hapa....we umepima unajua status yako au kunyoonyeshea vidole wenzio? Una ushaidi ulienda kupima naye, au we ndio mkewe? Unajua watu wangapi wanperuzi 'uzi' huu ni waathirika, unataka kuwaambia nini...unawanyanyapaa sababu tu hukubaliani na hoja za Kibonde!?
Hoja ya Kibonde ijadiliwe 'critically' kama hoja...na sio tu Kibonde anahisiwa kuathirika, waathirika wako wengi sana nchi hii, na hata hapa JF wamejaa...acha unyanyapaa!
Sawa nimekuelewa dada yangu "Riwa" lakini kumbuka ukweli lazima usemwe,Kama wewe ulishawahi kuzini na hako kajamaa,basi kamekuumiza vibaya,ebu kaulize kuna muda alikua haonekani wala hasikiki kwenye vyombo vya habari kwa muda mrefu,je alikuwa wapi? na pale hospitali ya Amana,yeye na mkewe wanaendaga kufanya nini,mara kwa mara.Asante sana dada yangu kama utanielewa.
We ndo pumba kabisa..ukweli kibonde kaweka wazi na nawapenda watangazaji wa clouds sio wanafiki kama baaadhi ya watu wa jf... Waandishi wengi wa tz hawafanyi utafiti wanachokisikia ndio hicho hicho wanakurupuka kuandika..... Safi kibonde.
yaani katka watu ambao reasoning capacity yao ipo chini na wewew pia umo bwana. Sasa kama mwandishi akifanya kazi ya ukachero na makachero wa PCCB wafanye nini??? haya mambo yapo ndani ya chama na imekuwa wazi kiasi ambacho watu hupeana milungula chooni na imekuwa crystal clear. Sasa baada ya waandishi kulifukua hiloi balaa ndipo ilikuwa PCCB waje kufanya uchunguzi na upembuzi yakinifu juu ya hayo malalamiko na mwisho kabisa waje na kauli ya aidha kupinga/kanusha hayo madai au kuthibitisha. Look at thesituation ndio uje ku argue usikurupuke kwa ushahidi tu.We ndo pumba kabisa..ukweli kibonde kaweka wazi na nawapenda watangazaji wa clouds sio wanafiki kama baaadhi ya watu wa jf... Waandishi wengi wa tz hawafanyi utafiti wanachokisikia ndio hicho hicho wanakurupuka kuandika..... Safi kibonde.
We ndo pumba kabisa..ukweli kibonde kaweka wazi na nawapenda watangazaji wa clouds sio wanafiki kama baaadhi ya watu wa jf... Waandishi wengi wa tz hawafanyi utafiti wanachokisikia ndio hicho hicho wanakurupuka kuandika..... Safi kibonde.
Kibonde ni MC dau lake ni mil 1.5,hachagui sherehe hata kitchen party anafanya.