Sijui labda kwa uelewa wangu mgodo,naomba kuuliza kazi ya rweyemamu pale ikulu ni nini? nimeuliza kwa sababu siku zoote rweyemamu akipigiwa simu kupata maelezo au ufafanuzi kuhusu ikulu atsema haaa nipigie baadaye and so and soo..........hajui majukumu yake au