mpinga shetani
JF-Expert Member
- Nov 22, 2010
- 3,236
- 954
Imenichukua siku kadhaa sasa ku-download faili lenye ukubwa wa 735mb kupitia torrents na nimetumia zile zinazodaiwa kuwa ni 'broadband;' yaani Zantel na TTCL na kwa kweli nimelazimika kujaribu internet ya kawaida 'Habari' ya hapa Arusha baada ya 3g za kibongo kushindwa ku-deliver.
Hivi ni kila mtu anapata adha hizi au nimetokea kuwa na bahati mbaya? Na ni kweli kasi za 3g zetu ziko kwenye mb/s na siyo kb/s?
Hivi ni kila mtu anapata adha hizi au nimetokea kuwa na bahati mbaya? Na ni kweli kasi za 3g zetu ziko kwenye mb/s na siyo kb/s?