Naona tumesahau ya mwaka jana wakati wa kampeni. Hebu tujikumbushe kidogo kwa kuangalia picha ifuatayo:-kwani ameshawahi anguka kama yule mzeee wa kifafa!
Ha! Ha! Ha! Ha!. katavi bana mbona Dr Slaa, wakati wa kampeni za urais alitembea nchi nzima kumwaga sera, lakini mbona hakuchakaa.
Ebu tafuta gazeti la mwananchi la Sep 26 2011. Umuone huyo Kashindye, jinsi alivyochoka yaani kavaa Magwanda ya CDM yanambwaya!
tatizo CCM wagumu wa kuelewa na wepesi kusahau - mwaka jana wakati wa kufunga kampeni zenu jangwani ilikuwaje? hali ya afya ya jamaa yenu ilikuwa tete hadi ikafikia ya ---- aiseeee --- aiseee ---- aiseeeeekila Kampeni zinavyoendelea ndio afya yake inazidi kuzorota tokea kuanza kwa kampeni, je kashindye anaumwa au nl mawazo? wana CHADEMAMA mtujuze.
Nadhani haumwi bali AMECHAKAA tu. Hata mimi huwa najiuliza sana.
mbona steven wasira anafanana na sokwe na ni waziri?
jah kaya amepona?
mbona hata rais wetu tuliyepewa (na tume ya uchaguzi) amekuwa akiangukaanguka majukwaani kila leo!