Kumekuwa na shida ya mshambuliaji kwenye timu ya arsenal kiasi cha mashabiki kukata tamaa na kukondeana.
SAMMATA sasa ni mfungaji wa kimataifa ana mechi ya tatu mfululizo anatupia tena mechi muhimu nyie mashabiki lialia tafuteni njia mumpelekee jina kibabu mpone.
SAMMATA sasa ni mfungaji wa kimataifa ana mechi ya tatu mfululizo anatupia tena mechi muhimu nyie mashabiki lialia tafuteni njia mumpelekee jina kibabu mpone.