Serendipity
JF-Expert Member
- Jan 24, 2009
- 486
- 43
Wana JF, Huwa najiuliza, pamoja na mabaya yote aliofanya Rais mstaafu,Ndg BW Mkapa, lakini aliweze angalau kufufua uchumi(ambao ulikuwa kama umekufa vile- yaani nikaribia tungeifikia hali ya sasa Zimbabwe)
Mkapa aliweza kulipa madeni nje, alijenga barabara, ali control inflation n.k
Sasa kutokana na utendaji( au mwenendo wa utendaji) wa Mh. JK, je angechukuwa nchi kutoka kwa Mzee Mwinyi angetufikisha wapi? Au ndo tungekuwa kama Zimbabwe ya leo?
Japokuwa sina data kamili, lakini nahisi katika muda JK aliokaa madarakani hali ya uchumi imezidi kuwa mbaya kuliko wakati alivyo kabidhiwa na Mkapa.
Mkapa aliweza kulipa madeni nje, alijenga barabara, ali control inflation n.k
Sasa kutokana na utendaji( au mwenendo wa utendaji) wa Mh. JK, je angechukuwa nchi kutoka kwa Mzee Mwinyi angetufikisha wapi? Au ndo tungekuwa kama Zimbabwe ya leo?
Japokuwa sina data kamili, lakini nahisi katika muda JK aliokaa madarakani hali ya uchumi imezidi kuwa mbaya kuliko wakati alivyo kabidhiwa na Mkapa.