Mamndenyi
JF-Expert Member
- Apr 11, 2011
- 40,565
- 52,202
umeshaleta fitina 'like' imekimbia.
kwa kuwa umeonyesha nia mbaya ya kusoma pm,
sijui kama kamati itakufikiria pamoja na jitihada zako zote
za kubeba kitendea kazi mapajani kitaendelea kukufyonza tu nguvu za naniii.
kwa kuwa umeonyesha nia mbaya ya kusoma pm,
sijui kama kamati itakufikiria pamoja na jitihada zako zote
za kubeba kitendea kazi mapajani kitaendelea kukufyonza tu nguvu za naniii.
Nikipewa hiyo napiga marufuku kuingia JF Via Mobile. Afu ntalazimisha nipewe access ya kusoma PM zote za wanaJF MMU na chit chat. Vinginevyo JF inafungiwa.