CHAI CHUNGU
JF-Expert Member
- Feb 20, 2012
- 7,113
- 930
Kuna wizara ya yale mambo yetu ya kikubwa?I mean mapenzi?kama ipo nipeni mie,nakuhakikishieni ntamuenzi Kanumba kwa 100%!
Ni bahati iliyoje PM mwenyewe ndo asali ya ODM. PM, hebu twende PM tukajadili mustakabali wa benki yetu.Itabidi umhonge PM ili asaidie wewe kuteuliwa BOT ya jf.
Wizara ya wanawake,jinsia na watoto awe kongosho
- wizara ya wanawake, jinsia na watotot - Lizzy
- wizara ya Kinababa na vijana - Rejao
- WAziri asiyekuwa na wizara maalum - Bagah
Hapo chachaaa!Teh Wizara Siasa najua ni ngumu sana kuigawa kwa kuwa kuna tofauti ya kivyama so tunaivunja hadi tutakapoafikia muafaka kama Waziri atoka SISIEMU au CDM
mtu chake..nakuwa mkuu wa majeshi..mkizingua tu..nafanya kama mali
We msafiri wa Zuberi usharudi?Ebu nipe contact nur ya shemeji nimsalimie na nimuulize lini atakua na likizo nyingine ili nami nisafiri nae!Kuna wizara ya yale mambo yetu ya kikubwa?I mean mapenzi?kama ipo nipeni mie,nakuhakikishieni ntamuenzi Kanumba kwa 100%!
Hapo chachaaa!
Itabidi hiyo apewe asiyekuwa na chama maana yaweza baki wazi mda mrefu sana!
Wizara ya wanawake,jinsia na watoto awe kongosho
Hahahahaaaa wamtoe jukwaa la wakubwa au la matangazo kule kuna Viongozi wazuri sanaHapo chachaaa!
Itabidi hiyo apewe asiyekuwa na chama maana yaweza baki wazi mda mrefu sana!
Ni bahati iliyoje PM mwenyewe ndo asali ya ODM. PM, hebu twende PM tukajadili mustakabali wa benki yetu.
Mam,mie nishapewa hii hapa na nimeikubali ww unaonaje hapa!Cantalisia unaweza pewa ya ulinzi,
si unaona mzee wako mtambuzi
anavyokugwaya kwenye mambo ya ulinzi wake.
Afadhali aisee otherwise watu watafukuzwa kazi sana kwani watabishana mpaka wataharibu kiibod za komyuta zao kwan itakua km wanaonana live!Hahahahaaaa wamtoe jukwaa la wakubwa au la matangazo kule kuna Viongozi wazuri sana
Nikipewa hiyo napiga marufuku kuingia JF Via Mobile. Afu ntalazimisha nipewe access ya kusoma PM zote za wanaJF MMU na chit chat. Vinginevyo JF inafungiwa.Asprin uwe wa sayansi na teknolojia.
Sijarudi mkuu,but nataraji j,mosi inshaallah.Si unajua tena namsubili wife tu be amalizie japo ka wiki1 ka likizo kwao?so j,mosi ntaingia nae Dar na ntampeleka geto moja kwa moja mkuu.We msafiri wa Zuberi usharudi?Ebu nipe contact nur ya shemeji nimsalimie na nimuulize lini atakua na likizo nyingine ili nami nisafiri nae!
Kuna wizara ya yale mambo yetu ya kikubwa?I mean mapenzi?kama ipo nipeni mie,nakuhakikishieni ntamuenzi Kanumba kwa 100%!
Hahahahahaaa siku hizi nimegundua jukwaa lile ni la kupita tu na sikuweka makaziAfadhali aisee otherwise watu watafukuzwa kazi sana kwani watabishana mpaka wataharibu kiibod za komyuta zao kwan itakua km wanaonana live!
Ndio umejiandikia ID zako zote au,wote watoke nje tuna outsource uongozi
rais-nairoberry
makamu-mwembetayari
waziri mkuu-livefire
mwenyekiti wa kamati ya kutafuta viongozi toka nje ntakuwa mimi
Nikipewa hiyo napiga marufuku kuingia JF Via Mobile. Afu ntalazimisha nipewe access ya kusoma PM zote za wanaJF MMU na chit chat. Vinginevyo JF inafungiwa.