hebu imagine JF ingekuwa ndo serikali ni nani anastahili kuwa prezdaa, makamu wake, prime minister, spika, waziri wa fedha, ulinzi?
Karibun wadau
ndiooooooKONGOSHO awe waziri asiye na wizara maalum, sababu za kumpendekeza ni kutokana nayeye mwenyewe kutokueleweka na anafit sehemu zote. MNAOMKUBALI SEMENI NDIYOOOOO
Kama JF ingekuwa ndio serikali Maxence Melo angekuwa ndio raisi na makamu wake angekuwa Mike McKee. Invisible ndio angekuwa waziri wa ulinzi.
nilijua usimtaje huyo pasingetosha hapa
ha ha haaa!!! Kwa nini unasema hivyo?
si ni mtu wa karibu kwako na isitoshe amekuandaa vyema kurithi hapa
Ha ha haaa!!! Umenifurahisha kweli...Umejuaje hayo yote? Ulikuwa unanichungulia nini?
hahahahhhahaaaa eti nini kukuchungulia au kukuangalia vizuri? NIMEKUZINGATIA NA NIMEKUBAMBA