Heshima kwako Silent Whisper,
Mkuu nakubaliana na hoja yako lakini zekomedi kwanini hawatafuti wasichana waigize sehemu ya wanawake.Unajua kupitia Joti Tanzania inaweza kuzalisha mashoga kibao jamaa anafanya kazi ya shetani kabisa.Nimeangalia filamu na komedi nyingi sana za majuu mwanaume akiigiza sehemu ya mwanamke zinakuwepo sababu za msingi huku kwetu kina Joti wanabinua midomo na kupepesa macho tunashangilia badala ya kuwatandika viboko siku ukikutana na mwanao anajishebedua utaoana kawaida kumbe mambo yameshaharibika.
Anadhalilisha hata mavazi ya kike kuna baadhi ya nguo huwezi kumnun ulia mkeo au mpenzi wanaziita za joti. Lile bwabwa kudadeki zake. :doh:
kile ni kipaji adimu mkuu...! NDO MAANA WANAITWA WAIGIZAJI...!!
kama vile mtu safi anaweza akaigiza kama jambazi lenye roho mbaya ...lakini in reality he is not..! ITS NO BIG DEAL..!
mimi binafsi naiomba serikal;i yetu ipige mafufuku kipindi hicho kime haribu saana watoto tukubari tusikubari,ni hatari sana kwa nyakati za leo, mwanamke ananafasi yake katika uigizaji,mwanaume anapo igiza kama mwanamke anamaanisha nini??ili iweje wakati mwenye nafasi yupo?
sipati picha hapo.