Chalihi kachara
Member
- Sep 4, 2012
- 15
- 0
Jana mtu mzima AY katokelezea kwenye segment ya copy and paste kwenye kipind cha orijino commedy -TBC 1,shukrani zimwendee joti kwa kuwafichua vilaza wote wanaojiita wanamziki,
Mwambieni Joti anasalimiwa na mmiliki wa kampuni filisi ya scandinavia.
Alimla!au wanahusiano gan!Mwambieni Joti anasalimiwa na mmiliki wa kampuni filisi ya scandinavia.
Alimla!au wanahusiano gan!
kina Joti hawana jipya watafute kazi nyingine ya kufanya kuchekesha wameshashindwa.....ivi iyo copy n paste nayo ni kichekesho??......yani wamekuwa kama marehemu anaetaka kuondoka na wake.
Umemaliza bab!!!!hivi hawa kina joti wanafanya vichekesho au maigizo?Joti ana chambua makosa ya maproducer na kudhani ni mkosa ya wasanii!
bwahaha AY kakopi wapi tena? wenyewe ukiwauliza wanakuambia eti ni sampling na sio copy na paste
Joti ana chambua makosa ya maproducer na kudhani ni mkosa ya wasanii!