Dr Matola PhD
JF-Expert Member
- Oct 18, 2010
- 56,422
- 92,778
Jamani mimi nimeshtushwa sana kusikia JK eti kapita kwa muda Egypt uku wote tukijuwa udanganyifu uliofanyika kwenye uchaguzi wa wabunge, sasa rais wa calibler hii ni muumini wa demokrasia? NATOA HOJA.