Nimekuelewa Mkuu, Je hao watu wanaotumwa kwenda kumpokea JK aiport huwa wanasindikiza kwa mapikipiki,magari namshikachuma,
obama hajawahi kumpokea jk airport hata siku moja. marais wote wanaotembelea usa km wana appointment ya kukutana na obm huwa ni kwenda ikulu ambapo kama ni mgeni rasmi wa obm ndo huwa anapokelewa rasmi pale. sio uwanja wa ndege.
Mmh!! mbona sielewi? sasa hapa ni airport,ikulu au mtaani tu?
Huyu hapa:
Sawa...lakini hizo ziara zote ulizoziorodhesha hapo juu JK keshazifanya nchini Marekani.Kuna ujio wa Urais wa aina nyingi, binafsi, ziara ya Kitaifa, ziara ya kikazi, ziara ya kuhudhuria mkutano? ndio maana utaona zingine zina mizinga zingine hazina. Hutegemea na safari yenyewe.
mkuu, kama kuna marais mbau(20) wanaotembelea usa per day basi obama angekuwa hana muda wa kufanya kazi nyingine zaidi ya kuwa busy kuwapokea hao marais. mi kwa muono wangu nadhani pale state department kuna kitengo maalum cha kuwapokea marais and etal hivyo obama halazimiki kwenda viwanja vya ndege kusubiri kuwapokea.
Nimekupata mkuu, lakini hapo kwenye Bold...kweli imewahitokea JK akapata escort ya mapikipiki 8 au 6 kama tufaMapokezi ya rais kutoka katika nchi zinazoendelea kama Tanzania huwa wanamapokezi ya aina mbili:
- Kama amealikwa na kiongozi mkuu wa nchi hiyo, airport hupokewa wa gavana wa jiji atakapofikia wakiongozwa na msafara wa mapikipiki kama kawaida na mwenyeji wake humsubiri ikulu ambako hupata heshima za mkuu wa nchi na kupigiwa mizinga 21.
- Kama amekwenda kwa ziara binafsi au katika mikutano ya mashirika ya kimataifa kama Umoja wa Mataifa hupokewa na viongozi wa mashirika husika na huweza kupangiwa ratiba ya kwenda kumsalimu kiongozi mkuu (Courtesy call) wa nchi aliyoitembelea kama atakuwepo nchini kwake
Sawa Mkuu... lakini je huwa anapokelewa kwa msafara wa mapikipiki na magari hadi njia zinasimama kwa mda?
Na hapo airport analakiwa na nani? Gavana wa jimbo,meye, au Rais wa nchi? Je imehahi tokea Rais wa Marekani
kwenda airport kumpokea Kikwete?
Hapa mkuu sio airport wala camp David panaonekana kama shopping mall vile maana kwa mbali namuona binti wa kithungu na mfuko wake kuonyesha katoka kupata mahitaji kwenye hiyo Mall
Ridhiwani anapewa ulinzi na escort sembuse Babaake ! Sometime kuweni reasonable, au ?hakuna cha zaidi ya ulinzi
Nimekupata mkuu, lakini hapo kwenye Bold...kweli imewahitokea JK akapata escort ya mapikipiki 8 au 6 kama tufa
nyavyo hapa Bongo? Jamani mwenye picha ya mapokezi ya JK kuanzia airport za marekani hadi ikulu atuwekee hapa tuone.
Huyu hapa:
Mkuu,hapo kwenye bold jibu ni simple tu....kwanza nilitaka tu kujuwa hawa viongozi wa nchi za Africa wanapokelewa vipi
waendapo kwenye hizo nchi tajiri duniani,pili huwa ninajiuliza why Raisi wetu anakwenda USA mara kwa mara? So nikafiki
ria labda kinachompeleka huko ni mapokezi ya ki VIP kama kufungwa barabara,mapikipiki,magwaride,mizinga na misafara
ya magari hadi ikulu ya white house. Lakini kupitia uzi huu kunakitu naanza kujifunza...tuendelee mkuu
Huyu hapa:
Hapo kwenye bold ndipo paliposababisha mimi kuanzisha thread hii.Mkuu,
Si marais wote wanaokwenda Marekani humwona Obama...wengine wanaenda kutibiwa..... wengine kwenye biashara zao binafsi..... wengine window shopping....NYC ni kitu ingine kabisa si kama Dar es Salaam tunapangwa barabarani kumpokea Mugabe!
Umeona hao jamaa waliovaa suti na miwani myeusi...:hat:
Mmh hii kali hebu funguka!....unamaanisha Ridhwani anapokelewa ki V-I-P Marekani na kwanini baba yake asipokelewe?Ridhiwani anapewa ulinzi na escort sembuse Babaake ! Sometime kuweni reasonable, au ?
Jk yumo hum aje bas atupe infoya ukwel
Kwa kupitia picha hii inaonyesha kuwa Rais wetu alipokelewa na kupelekwa sehemu husika kwa msafara maana nitakuwa mjinga sana kama nitataka kuamini kuwa alipanda ktk magari yote tunayoyaona pichani