Shine
JF-Expert Member
- Feb 5, 2011
- 11,481
- 1,364
Ama anaichukulia vice vesa yake?
View attachment 44054
Maana kwa mtu anaefikiria ni zinga la kijembe
View attachment 44054
Maana kwa mtu anaefikiria ni zinga la kijembe
Sio kijembe ndivyo ilivyo kwani sio siri kwamba viatu vya uraisi vimemshinda! Kha! Ni bora awe anatembelea mitandao ya kijamii kama alivyokuwa anafanya mwl kuongea na wapishi na pia kucheza bao kupata mawazo ya walalahoi kuliko kutegemea wasaidizi,wanampotosha!Ama anaichukulia vice vesa yake?
View attachment 44054
Maana kwa mtu anaefikiria ni zinga la kijembe
Ama anaichukulia vice vesa yake?
View attachment 44054
Maana kwa mtu anaefikiria ni zinga la kijembe
mwacheni kumwonea
amethubutu, ameweza, anasonga mbele
Ama anaichukulia vice vesa yake?
View attachment 44054
Maana kwa mtu anaefikiria ni zinga la kijembe
Somebody needs to carry the blame for all the faults made before and even now.. Unfortunatly that person happens to be jk..
Ana mambo mengi ya kufanya, sidhani kama anapoteza muda kufikiria katuni