Hivi hakuna njia yoyote ambayo tunaweza kupunguza miaka ya jk? Mie naona miaka Minne iliyobaki Tanzania itakuwa kama sio nchi tena! Jamani kwanini tusifikilie njia mbadala? Kwani lazima amalize miaka yote?
Hata akichapia huyo ndiyo rais wa JMT mpaka 2015. Na kuna tetesi akaongeza tena miaka 5.Sheria si misaafu.
Kama rais yupo hivyo waliomchagua na waliompigia kampeni pamoja na chama alichogombea wapoje.?
Naona vicheche wa CDM wamecharuka na propaganda zao, mtabaki kupiga kelele tu humu JF mwisho mtanyamaza. Hakuna mwenye jeuri ya kuandamani wala chochote.
Kikwete ndio Rais wa Tanzania na ni baba yenu wote nyie humu.
Naona vicheche wa CDM wamecharuka na propaganda zao, mtabaki kupiga kelele tu humu JF mwisho mtanyamaza. Hakuna mwenye jeuri ya kuandamani wala chochote.
Kikwete ndio Rais wa Tanzania na ni baba yenu wote nyie humu.
Hivi kwani ilikuwa lazima ajibu kwa kidhungu? mbona mwenzie alikuwa anatumia lugha anayoielewa vizuri then inatafasiriwa
Sijaona post hata moja inayosema Kikwete sio rais wa JMT, so you are absolutely out of mind. Wanachosema ni ile level ya incompetence inayojidhihirisha kwake for the world to see.