JK reflects the way we tanzanians are... weak, out of place and lack seriousness and passion on what we do
Toa mfano wa kipi hakusema vema kwenye mjadala huu word to word, mimi naona amesema vema bila tatizo lolote..
Watu kama nyie ndio hawezi kumsifia mtanzania mwenzao lakini utaona wanapenda kusifia wageni..ni maradhi tu ya wachache..siyo wote..