Hivi, jirani kwanini hununui gari?

jamani hebu someni vizuri huo uzi. Nimepitia tena huo uzi sijaona mahali nilikosema huwa napanda kila siku, sasa hoja hii sijui imezaliwa vp. Kwanini watu hamtaki kusoma uzi wote ndo uje ulete comments zako. Yaani mtu unaosma topic tu, unaanza kushusha vitu kwa hisia, sio vizuri
 
Basi mngekuwa mnamsaidia hata gharama za mafuta kidogo, sasa nyie kila siku mnapanda na anawaendesha tu. watz tusizoee sana vitu vya bure.

mzee mbona sijasema napanda kila siku, jamaa eeeeeeeeee, someni upya, khaaaaaaa!
 
= Wote tukiwa matajiri nani atamuomba mwenzake?

Sometimes umiza kichwa usichukulie mambo kirahisi mkuu au shule ya kata?

425932_2366906390333_1780640867_1481860_1926267249_n.jpg
 
Hata kavitz kanakushinda?
Haya Bwana ujumbe umefika, yaani ule utani tu wa kukwambia 'jirani, kwa nini hununui gari' wewe umeufikisha mpaka hapa JF.....................haya bana........LOL
Smile bora umempasha akakope, Mabenki mengi siku hizi yanakopesha, kwa nini ukubali kusimangwa na kagari ka watu!

Kweli una moyo, kila siku lifti mkuu, Ki-utambuzi tunasema kusimangwa ni kuamshwa usingizini, sasa naona utatia akili, kama sio kununua la kwako basi panda daladala......................

Umenifurahisha sana mkuu. Mimi mwenzio majirani zangu wote wana magari lakini wakitaka kunipa lifti nawaambia nasubiri staff Bus...............LOL
 
jamani hebu someni vizuri huo uzi. Nimepitia tena huo uzi sijaona mahali nilikosema huwa napanda kila siku, sasa hoja hii sijui imezaliwa vp. Kwanini watu hamtaki kusoma uzi wote ndo uje ulete comments zako. Yaani mtu unaosma topic tu, unaanza kushusha vitu kwa hisia, sio vizuri

Jamani leo naona jirani yangu niliyezoea kumuomba 'lift',
nadhani huenda baada ya 'kunichoka' kutokana na katabia
kangu ka kumuomba lifti wakati wa kwenda kazini
.

Huenda labda nina makengeza, lakini hiyo bold naona kama ulikuwa unaomba lifti kila siku na ndio maana kakuchoka au..................!?
 
... kumuomba 'lift',
nadhani huenda baada ya 'kunichoka' kutokana na katabia
kangu ka kumuomba lifti wakati wa kwenda kazini...[/
QUOTE]

Mkuu hapa wewe mwenyewe umefanya watu waamini kila siku unaomba lift, by the way unaomba wala husubiri kupewa. Namna umeeleza katabia kako kalivyo na kwamba ni wakati wa kwenda kazini tunaamini unakwenda kila siku ya kazi hivyo ni jambo linalotokea kila mara
 
Sasa wewe kila siku unataka bure tuu, unategemea nini? Siku hizi watu wabaya huyo jamaa angekuomba "mchezo" ndio ungejua Chamtu M**i!
 
Jamani leo naona jirani yangu niliyezoea kumuomba 'lift',
nadhani huenda baada ya 'kunichoka' kutokana na katabia
kangu ka kumuomba lifti wakati wa kwenda kazini.

Huenda aliamua kunitolea uvivu, au pengine nilikuwa namboa, au pengine
kwa mtazamo wake, anadhani ninao uwezo au labda ni ubahili
wangu.......hata sijui why....ila kifupi mara baada ya kupanda, akionekana
hana furaha, neno lake la kwanza likawa 'Hivi jirani kwa nini hununui
gari likusaidie usafiri wa kwenda na kurudi ofisini? Abiria wengine wawili walokuwa
ndani ya gari walibaki kuangaliana tu, maana nao kama wasaidiwa
huenda walihis hilo 'dongo' linawahusu pia

Kwa kuhisi huenda jamaa kanichoka, nililoweza kufanya ni
kuguna tu, mhhhhhh bila kujibu kitu huku nikiwa na aibu tele usoni.
Baada ya kwenda kama mita 70 hivi, nikajidai nimesahau simu na kumuomba jamaa
anishushe niirudie simu yangu nyumbani. Baada ya kushuka
nikapanda zangu daladala na kuelekea job.

Hapa kazini hii stori imekuwa gumzo kwani abiria wale wengine waliifikisha
hii skendo ofisini na imekuwa gumzo la siku. Kila mtu 'ananitania' kwa kurudia
kauli ya mshikaji, 'Hivi jirani kwa nini hununui gari'? Nabaki nacheka tu hapa
ofisini!


alitakiwa aulize , hivi ndyoko kwanini huchangii wese?
 
Jamani leo naona jirani yangu niliyezoea kumuomba 'lift',
nadhani huenda baada ya 'kunichoka' kutokana na katabia
kangu ka kumuomba lifti wakati wa kwenda kazini.

Huenda aliamua kunitolea uvivu, au pengine nilikuwa namboa, au pengine
kwa mtazamo wake, anadhani ninao uwezo au labda ni ubahili
wangu.......hata sijui why....ila kifupi mara baada ya kupanda, akionekana
hana furaha, neno lake la kwanza likawa 'Hivi jirani kwa nini hununui
gari likusaidie usafiri wa kwenda na kurudi ofisini? Abiria wengine wawili walokuwa
ndani ya gari walibaki kuangaliana tu, maana nao kama wasaidiwa
huenda walihis hilo 'dongo' linawahusu pia

Kwa kuhisi huenda jamaa kanichoka, nililoweza kufanya ni
kuguna tu, mhhhhhh bila kujibu kitu huku nikiwa na aibu tele usoni.
Baada ya kwenda kama mita 70 hivi, nikajidai nimesahau simu na kumuomba jamaa
anishushe niirudie simu yangu nyumbani. Baada ya kushuka
nikapanda zangu daladala na kuelekea job.

Hapa kazini hii stori imekuwa gumzo kwani abiria wale wengine waliifikisha
hii skendo ofisini na imekuwa gumzo la siku. Kila mtu 'ananitania' kwa kurudia
kauli ya mshikaji, 'Hivi jirani kwa nini hununui gari'? Nabaki nacheka tu hapa
ofisini!
Jirani kwanini hununui gari?
 
Jamani leo naona jirani yangu niliyezoea kumuomba 'lift',
nadhani huenda baada ya 'kunichoka' kutokana na katabia
kangu ka kumuomba lifti wakati wa kwenda kazini.

Huenda aliamua kunitolea uvivu, au pengine nilikuwa namboa, au pengine
kwa mtazamo wake, anadhani ninao uwezo au labda ni ubahili
wangu.......hata sijui why....ila kifupi mara baada ya kupanda, akionekana
hana furaha, neno lake la kwanza likawa 'Hivi jirani kwa nini hununui
gari likusaidie usafiri wa kwenda na kurudi ofisini? Abiria wengine wawili walokuwa
ndani ya gari walibaki kuangaliana tu, maana nao kama wasaidiwa
huenda walihis hilo 'dongo' linawahusu pia

Kwa kuhisi huenda jamaa kanichoka, nililoweza kufanya ni
kuguna tu, mhhhhhh bila kujibu kitu huku nikiwa na aibu tele usoni.
Baada ya kwenda kama mita 70 hivi, nikajidai nimesahau simu na kumuomba jamaa
anishushe niirudie simu yangu nyumbani. Baada ya kushuka
nikapanda zangu daladala na kuelekea job.

Hapa kazini hii stori imekuwa gumzo kwani abiria wale wengine waliifikisha
hii skendo ofisini na imekuwa gumzo la siku. Kila mtu 'ananitania' kwa kurudia
kauli ya mshikaji, 'Hivi jirani kwa nini hununui gari'? Nabaki nacheka tu hapa
ofisini!

Ulimjibu je? HIVI KWA NINI HUNUNUI GARI?
 
Wewe ungemchefua na wewe;sijaona umuhimu wa gari sasa hivi na mambo mengi muhimu ya kufanya kwanza.Halafu ndo ungeona
 
Kumbe upo Dodoma mbona hapa shwari tu..hakuna foleni,wapiga debe vibaka,foleni (kama jiji lenye vurugu la Daslam)...panda daladala kama kawaida..kuchagua ni kupanga
 
Kwa sasa najenga, hivyo nimeona ni vyema nijenge kwanza wakati huu ambao bado nakaa nyumba za bure za ofisi, then ikiisha niipangishe, then hela itakayotokana na kodi ya pango nichanganye na nyingine ndo ninunue gari. Unajua nini nisingependa mwanangu atakapo-join university mwakani basi hiyo kodi ya nyumba ndiyo itumike kumlipia tuition fees maana nataka asome kozi yenye future na sio ile atakayochaguliwa na TCU. Sipendi asome kwa mkopo wa HESLB.

Kwa kuwa dodoma nyumba ya kupanga sasa si chini ya 350,000 kwa mwezi, nadhani kodi ya mwaka ya millioni 4, katoto kataweza kusomeshwa na kodi ya nyumba tofauti na kama nikinunua gari ambalo litakuwa linavyonza tu mfuko wangu.
Kwahiyo unamaana kuwa jirani yako yeye hataki kuwa na nyumba dodoma? Au wanaye wasisome kwa mkopo? hata hivyo amekusamehe sana ningekuwa mie kila siku ningekulipisha bei ya teksi... usipende miteremko.. acha ukupe
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom