Hivi JF kama Taasisi, Hatuwezi kuwa na maoni ya pamoja kuhusu Katiba Mpya?

STK ONE

JF-Expert Member
Dec 31, 2011
627
184
Wana Jamvi ni maoni yangu tu, hivi hatuwezi kuwa na maoni ya pamoja juu ya katiba mpya? Maoni hayo tunakuwa tunayawakilisha kwenye tume sehemu mbali mbali punde inapofika. Hii itapelekea maoni yetu kufikiriwa na kuwekwa kwenye katiba mpya. Ni maoni tu, kama inawezekana, tuna wanasheria wengi sana humu tuchangie na watuandikie conclusion ya maoni yetu. Asanteni. Nawaomba tusilete U CCM na U CDM katika hili, TANZANIA NI YETU SOTE.
 
  • Thanks
Reactions: BAK
"Maoni ya pamoja" ni tofauti na spirit ya uhuru wa maoni.

Tuko watu tofauti sana kuweza kuwa na "maoni ya pamoja".
 
mbona umeanza kujistukia mkuu,we ni gamba? Livue kwanza kama bado kaka...
 
mbona umeanza kujistukia mkuu,we ni gamba? Livue kwanza kama bado kaka...

Mimi sina mengi ya kusema, soma signature yangu chini...lakini Katiba ni ya nchi, na ni vyema kwenye jambo ambalo linahusu nchi, tusiweke itikadi za vyama vyetu vya siasa.
 
"Maoni ya pamoja" ni tofauti na spirit ya uhuru wa maoni.

Tuko watu tofauti sana kuweza kuwa na "maoni ya pamoja".

Nafahamu our differences, but yet as Tanzanians, we can have common ideas on what we ought our country to be in the near future. THis is only possible if we have common ideas for common good. Tofauti zetu hazituzuii sisi kuwa na maoni ya pamoja juu ya katiba mpya. Tukiweka itikadi za vyama vyetu vya siasa kando, tunaweza kuwa na maoni ya pamoja juu ya katiba mpya as GREAT THINKERS.
 
Nafahamu our differences, but yet as Tanzanians, we can have common ideas on what we ought our country to be in the near future. THis is only possible if we have common ideas for common good. Tofauti zetu hazituzuii sisi kuwa na maoni ya pamoja juu ya katiba mpya. Tukiweka itikadi za vyama vyetu vya siasa kando, tunaweza kuwa na maoni ya pamoja juu ya katiba mpya as GREAT THINKERS.

The very idea that a membership as diverse as this forum has must somehow have common ideas is what made us to wallow in poverty for so long.

We had the so called "common idea", it was called "Ujamaa and Kujitegemea" under CCM. It failed.

Now let's embrace a little diversity.

Should a commonality emerge naturally, that will be welcome news.

But please do not try to herd a population with such divergent views as JF to converge on "common ideas" by design.

It is the height of thought control, which is totally against the spirit of freedom embraced by JF.
 
Si wazo baya kwamba WanaJF wakusanye mapendekezo ya nini kinachostahili kuwemo kwenye katiba mpya toka kwa wadau mbali mbali kisha mapendekezo hayo kuwakilishwa katika hiyo tume ya kukusanya maoni. Tunaweza kusema mapendekezo hayo yakusanywe kwa muda wa miezi miwili/mitatu.
 
Si wazo baya kwamba WanaJF wakusanye mapendekezo ya nini kinachostahili kuwemo kwenye katiba mpya toka kwa wadau mbali mbali kisha mapendekezo hayo kuwakilishwa katika hiyo tume ya kukusanya maoni. Tunaweza kusema mapendekezo hayo yakusanywe kwa muda wa miezi miwili/mitatu.

Huyu anataka "maoni ya pamoja" kama JF.

Last time I checked JF si chama cha siasa, sasa maoni ya pamoja tutayatoa kwa itikadi gani ya pamoja tuliyo nayo?

Kama issue ni kukusanya maoni JF ndiyo kazi yake kila siku.

Angalizo liko hapo "ya pamoja". Maana watu wasije kuwa na maoni yao wanataka kutumia jina la JF, wanaungunga support ya wawili watatu, halafu wanasema "maoni ya pamoja ya JF ni haya".

Weka maoni kwanza, halafu watu watajadili watajua haya ni ya pamoja au la.

Ukishaanza kuwapelekapeleka watu kwenye "maoni ya pamoja" kabla hata maoni yenyewe hayajajulikana utakuwa unaenda kinyumenyume huku unaangalia mbele, hukawii kugonga.
 
Back
Top Bottom