Wataalmu wa mambo haya naomba kuwakilisha hoja.
1.kurekebisha miundo mbinu ya bandari ya mtwara, Tanga na Dar es salaam. Harafu kwa bidhaa yoyote ambayo destination yake ni TZ haitozwi ushuru inakuwa huru na bure.
2. tunajenga reli kutoka tanga hadi Musoma na tunajenga bandari kubwa Musoma, harafu reli tunaijenga kutoka msoma tunaunganisha Mwanza na upande wa pili wa mwanza tunajenga reli kuunganisha burundi na rwanda.
3.Tunajenga reli ya kati hadi kigoma na pale kigoma tunajenga bandari nzuri.
4. Tunajenga reli kutoka mtwara tunaunganisha msumbiji ,malawi na nchi mwa kusini huko.
Harafu bidhaa yoyote destination yake ambayo iko nje ya Tanzania tunaitoza ushuru NUSU ya bei ya sasa, yani kama saizi tunaitoza bidhaa hiyo TSH 10 basi tutaitoza Tsh5.
Swali hii soln itajenga nchi ama itabomoa kabisa uchumi wa nchi.?
Mods naomba ibaki hapa kwa mda .
1.kurekebisha miundo mbinu ya bandari ya mtwara, Tanga na Dar es salaam. Harafu kwa bidhaa yoyote ambayo destination yake ni TZ haitozwi ushuru inakuwa huru na bure.
2. tunajenga reli kutoka tanga hadi Musoma na tunajenga bandari kubwa Musoma, harafu reli tunaijenga kutoka msoma tunaunganisha Mwanza na upande wa pili wa mwanza tunajenga reli kuunganisha burundi na rwanda.
3.Tunajenga reli ya kati hadi kigoma na pale kigoma tunajenga bandari nzuri.
4. Tunajenga reli kutoka mtwara tunaunganisha msumbiji ,malawi na nchi mwa kusini huko.
Harafu bidhaa yoyote destination yake ambayo iko nje ya Tanzania tunaitoza ushuru NUSU ya bei ya sasa, yani kama saizi tunaitoza bidhaa hiyo TSH 10 basi tutaitoza Tsh5.
Swali hii soln itajenga nchi ama itabomoa kabisa uchumi wa nchi.?
Mods naomba ibaki hapa kwa mda .