Borat69
JF-Expert Member
- Jun 17, 2012
- 2,526
- 1,757
Hii ilitokea wapi? Taarifa yako Ina utata kidogo:mnajidanga nyote nyie
kuna mrundi mmoja,alikwenda ktk internet cafe na kutuma ujumbe kwa rafiki yake akimwelezea juu ya tishio la mlipuko utakaotokea huko shanghai,baada tu ya kuondoka na kuelekea chumbani,usiku ule alifuatwa hadi chumbani na sasa hajulikani alipo.
utumie jina halisi,ama usitumie jina halisi ni vyema ukawa makini na kile ukitumacho,kwani IP unayoitumia ndiyo itakayokumaliza.
a) mrundi alitumia Internet Cafe - Ina maana IP address itakuwa ni ya Internet Cafe..sio!
b) baada ya kuondoka alielekea chumbani - Ina maana kwenye hiyo Internet Cafe kuna vyumba?
IP inaweza kukumaliza endapo unatumia Public IP Address. Kuna kitu kinaitwa "Proxy Server" hiyo unaweza kutumia kuficha IP address yako.
Next time ukileta mada humu usitumie vitisho na lugha DHAIFU ....Watanzania wameelimika karne hii ya 21.