Mdau Makini
Member
- Sep 18, 2012
- 70
- 10
Inaweza ikawa haina mantiki kuuliza swali kama hilo ila ukimwaga idea zako hapo zinaweza kumsaidia mwingine.Je ULAYA(mataifa Makubwa/mengine) kuna shule za ngono/mapenzi??..kama zipo zinawasaidia nin?? Au ndo kuvunja maadili na Waafrika kukopi na kupaste na kueneza Magonjwa ya ngono.Je na Bongo zipo??