Mawenzi
JF-Expert Member
- Sep 21, 2010
- 1,251
- 345
:alien:Hodi wanaJF! Jana tulijuzana kuwa Jaji Rugazia alipata ajali akiwa na Jaji mwenzie mke wa Makongoro Nyerere. Je alikuwa anaendensha gari la kijaji (J--) au la kwake binafsi? Kuna tetesi kuwa alikuwa anaendesha gari la u-Jaji. Naomba nijuzwe na mwenye kujua. Nauliza kwa sababu kuendesha gari la serkali saa zile ni ukiukwaji wa kanuni.