Limbani
JF-Expert Member
- Apr 24, 2008
- 1,438
- 442
Kesi hii inahusu nini hasa?
Kama ni pombe atakuwa mdogo wake Magufuli..
Ila kama ni Jack pemba basi ni mbongo mfanya biashara anaishi Kampala.. Ana pesa za kawaida tu ukilinganisha na wanasiasa wengi hapa tz .. Sema yeye anapenda sho off nyingi sio kitu kibaya ni pesa zake... Wanamuziki wengu wanamuimba jak pemba.... Fm academia na wengine..
Kila kitu na wakati wake....Mume wake Aunty Ezekiel enzi hizo kabla ya dansa......
Ndio mjue pesa sio kitu mbele ya shibobo sometimes.......
Mume wake Aunty Ezekiel enzi hizo kabla ya dansa......
Ndio mjue pesa sio kitu mbele ya shibobo sometimes.......
Atakuwa ni mdogo wake mzee wa majipu si unaona hata ubini walivyofanana?
Siyo kwa kesi hii aunty ezekiel na jack pembaMume wake Aunty Ezekiel enzi hizo kabla ya dansa......
Ndio mjue pesa sio kitu mbele ya shibobo sometimes.......
Kama ni pombe atakuwa mdogo wake Magufuli..
Ila kama ni Jack pemba basi ni mbongo mfanya biashara anaishi Kampala.. Ana pesa za kawaida tu ukilinganisha na wanasiasa wengi hapa tz .. Sema yeye anapenda sho off nyingi sio kitu kibaya ni pesa zake... Wanamuziki wengu wanamuimba jak pemba.... Fm academia na wengine..
Siyo kwa kesi hii aunty ezekiel na jack pemba
Amepotelea wapi?mada ya long time, but mashiko yake yana nguvu hata sasa