Lunyungu
JF-Expert Member
- Aug 7, 2006
- 8,873
- 1,894
Mimi nadhani majibu ya uhakika juu ya JP na move zake na hata mkono wa kuwa na big deals hadi serikali muulizeni Kapuya. JP ni mmoja wa wapenzi wakubwa wa Akudo Sound ambyo ni mali ya Kapuya na kila weekend utawaona msasani wako meza moja waziri huyu .