Samvulachole
JF-Expert Member
- Oct 22, 2006
- 413
- 117
cha kujiuliza ni je ndugu MUZAMIL ataweza kucounter shitaki? Je serikali yetu itaendelea kuchezewa na watu hawa mpaka lini?
TAZAMA TOFAUTI HAPA:
TAZAMA TOFAUTI HAPA:
Binafsi sikakuelewa hapo,unaweza kufafanua vurugu kivipi?Jamani hebu tuelewesheni "Ki JF" mbona vurugu....
Please tell the story
Jamani Msilaumu Jack Pemba Si Ajabu Katapeliwa....huyu Muzamil Katunzi Na Papaa Msoffe Ni Viumbe Hatari Sana Hapa Mjini ..walishawahi Kumliza Muisrael; 2million Dollars...sintashangaa Wakimliza Jack....
Details Za Muzamil ,papaa Msoffe Na Wengine Kwenye Network Yao Zinahitaji Muda Sana Kuzieleza...ni Watu Hatari...sasa Sijui Labda Jack Alitaka Kuwaletea Janja Ya London Wakamua Kumpa Kavu Za Uso...usanii Kwenye Jumba La Sanaa ...
Jamani Msilaumu Jack Pemba Si Ajabu Katapeliwa....huyu Muzamil Katunzi Na Papaa Msoffe Ni Viumbe Hatari Sana Hapa Mjini ..walishawahi Kumliza Muisrael; 2million Dollars...sintashangaa Wakimliza Jack....
Details Za Muzamil ,papaa Msoffe Na Wengine Kwenye Network Yao Zinahitaji Muda Sana Kuzieleza...ni Watu Hatari...sasa Sijui Labda Jack Alitaka Kuwaletea Janja Ya London Wakamua Kumpa Kavu Za Uso...usanii Kwenye Jumba La Sanaa ...
Phillimon mikael.
Papa Msoffe ni yule alikuwa akitapeli dola feki pale salamander? alikuwa na yule kijana mrefu mwembamba anafanana na DR.KIDOGA.
Phillimon mikael.
Papa Msoffe ni yule alikuwa akitapeli dola feki pale salamander? alikuwa na yule kijana mrefu mwembamba anafanana na DR.KIDOGA.