vkeisy2006
JF-Expert Member
- Mar 26, 2010
- 229
- 99
Kuna kitu nimeskia nataka nijue kama inawezekana ni hivi Mwanamke anamimba bila kujua kama ni mimba ya mapacha anakwenda kutoa na dokta hampimi anatoa tu na yule mwanamke anaondoka kumbe doctor ametoa mimba ya pacha 1 na nyingine inabaki tumboni je ni kweli ile mimba iliyobaki tumboni inaweza kusurvive na kukua kama kawaida bila tatizo lolote mpka mtoto azaliwe hivi inawezekana kweli jamani....