Viol
JF-Expert Member
- Dec 15, 2009
- 25,426
- 18,228
Kuna watoto wadogo kama umri wa miaka 3 au 4 hivi,unakuta anafanya kitu halafu ukimwambia aache,hata umwambie kwa
ukali ye haachi,mfano unamwambia "tupa ulichoshika"unakuta anakuangalia tu au anasmile,wakati we unampigia kelele kwa nguvu,mara anatokea mama yake,anamwangalia machoni na kumkazia macho halafu anamwambia "tupa hicho kitu"halafu kweli anatupa.
sasa mi nauliza hawa watoto inakwaje wanacheza na akili za watu flani flani?au wanasoma saikolojia ya mtu?sijui inakwaje kwaje halafu ukiangalia bado ni wadogo sana.
ukali ye haachi,mfano unamwambia "tupa ulichoshika"unakuta anakuangalia tu au anasmile,wakati we unampigia kelele kwa nguvu,mara anatokea mama yake,anamwangalia machoni na kumkazia macho halafu anamwambia "tupa hicho kitu"halafu kweli anatupa.
sasa mi nauliza hawa watoto inakwaje wanacheza na akili za watu flani flani?au wanasoma saikolojia ya mtu?sijui inakwaje kwaje halafu ukiangalia bado ni wadogo sana.