Hivi inakuwaje gari ya rais inachomoka tairi?

Matukio kama haya Rais wetu JK mwenyewe huwa anasema ni mipango ya Mungu. Sasa nyie humu mnapiga kelele za nini?
 
hakiyamungu huyu bwana nilishasema siku nyingi ameingiza wahuni ikulu,pale kuna watoto wa kijiweni watamtoa roho.kwanza ratiba hazina mpangilio,hotuba za kubumba,sasa kwenye tairi wakifika kwenye msosi mi sipo.2010 tutafute presdaa mwingine.

Yes - wahuni -- na mmoja wao -- huyo Salva -- aliingia kule kwa shinikizo -- au tuseme amri -- ya RA, kama tulivyokwisha thibitishiwa! Ni mambo ya ajabu kwelikweli yanayoendeshwa kule Ikulu!
 
Tuache kukuza mambo jamani. Hata ukiwa unacheki gari ya Rais kwa kiwango gani, bado huwezi kuondoa possibility ya gari kukorofisha. Hizo ni mashine tu jamani......!!

Binafsi naamini hii kitu inaweza kutokea, na ndo maana kwenye misafara ya Rais kunakuwa na gari ya dharula ili ikitokea gari anayotumia imekorofisha Rais anahamia kwenye gari nyingine na safari iinaendelea!!!

Nipe mfano wa Rais ambaye magari yake mawili yamepata hitilafu ndani ya siku moja akiwa katika msafara.
 
Tuache kukuza mambo jamani. Hata ukiwa unacheki gari ya Rais kwa kiwango gani, bado huwezi kuondoa possibility ya gari kukorofisha. Hizo ni mashine tu jamani......!! Binafsi naamini hii kitu inaweza kutokea, na ndo maana kwenye misafara ya Rais kunakuwa na gari ya dharula ili ikitokea gari anayotumia imekorofisha Rais anahamia kwenye gari nyingine na safari iinaendelea!!!

Acheni kusupport vitu vya ajabu. Hivi within 30 Kilomitres breakdown mbili kwa magari mawili tofauti tunaona ni jambo la kawaida tu? Labda mimi ndiyo nina matatizo kuona hapo kuna tatizo.
 
Nakumbuka 1987 ilitokea kwa Rais wa Nigeria.....hitirafu katika gari iliyombeba mkuu wa nchi!!

Nasisitiza binafsi naona ni hitirafu za kawaida, wengine mna uhuru wa kufikiri tofauti.
 
Unajua personally kama hauko serious always ata wanaokuzunguka hawatakua serious bse ni washikaji zako!
Utashangaa soln kwenda bagamoyo.
Alafu nasikia raisi anatembea na kiti chake kisa anaogopa juju juju
 
Matukio kama haya Rais wetu JK mwenyewe huwa anasema ni mipango ya Mungu. Sasa nyie humu mnapiga kelele za nini?


S.S.Phares afadhari wewe unam-quote mheshimiwa mwenyewe ni kweli kuwa iko namna hapa ..ngoja watu waumize vichwa kidogo..
 
Matukio kama haya Rais wetu JK mwenyewe huwa anasema ni mipango ya Mungu. Sasa nyie humu mnapiga kelele za nini?

Lazima tuseme kwa sababu siyo huyu tu atakuwa rais wa Tanzania watakuja na wengine pia na uozo huu ukiachwa utaendelea. Mipango ya Mungu ipo na ya shetani ipo pia ndiyo maana kuna matatizo na balaa pia duniani. Mtamtwisha Mungu mambo ambayo mlitakiwa kukemea na kuyakomesha. Mungu Ibariki Tanzania
 
Nakumbuka 1987 ilitokea kwa Rais wa Nigeria.....hitirafu katika gari iliyombeba mkuu wa nchi!!

Nasisitiza binafsi naona ni hitirafu za kawaida, wengine mna uhuru wa kufikiri tofauti.

Nakumbuka jana imetokea kwa mara ya kwanza kabisa duniani kwa rais kubadilishiwa magari mara mbili kwa sababu za hitilafu.
 
Wangwe.. tuliambiwa imechomoka tairi na hawakutaka kuamini inaweza kuwa ni ajali tu ya kawaida...

Mimi mmojawapo kwani magari huwa hayachomoki matairi kirahisi rahisi hivyo! Vinginevyo sisi tunaokesha kwenye mafreeway na kwenda at 140 KM/H ingekuwa kila siku inatokea hivyo.. as a matter of fact naweza kumuuliza mtu yeyote ambaye amewahi kusikia matukio ya gari kuchomoka matairi.

... nakumbuka la Mwakyembe pia lilichomoka tairi.. why ni haya ya viongozi?
 
Hivi hazifanyiwi ukaguzi,au kulikuwa na mkono wa mtu?,jana rais JK ziarani dar,alibadilishiwa gari mara mbili,baada ya gari ya pili kubadilishwa ilitembea kidogo na kuchomoka tairi

Tunapoelekea taifa litapata hasara kubwa kuitisha uchaguzi kwa kufiwa na presidaa....ni aibu, kituko cha karne. Mbaya zaidi yote yanafanyiwa service Toyota penyewe, na Tax-Invoice ya mamilioni kwa mwezi...hakika mwenye shoka hakosi kuni
 
Yani hii habari imeniharaibia siku.
JK - Sack them all, NOW!!!
Sio hao tu wa magari bali wote wanaokudanganya na kukuchuuza!!!
 
Acheni kusupport vitu vya ajabu. Hivi within 30 Kilomitres breakdown mbili kwa magari mawili tofauti tunaona ni jambo la kawaida tu? Labda mimi ndiyo nina matatizo kuona hapo kuna tatizo.

nitamshangaa sana ..mtu atakayeona kuwa tukio la jana ni la kawaida....hapo ni Mungu tu amesaidia!!!...it was beyond normal ..in such a short interval ...magari mawili yanaharibika!!....tena angalieni picha ya gari la pili vema ....hadi chuma kinachoshika tairi na brake drum kimemeguka vipande...hata barabara iwe mbaya huwa hakimegukagi???

ukiangalia historia ya majanga yanayompata Jk ni wazi ana maadui wengi ...wanaomchekea usoni...kama na yeye anavyowachekea...wanachekeana huku wanatafutana!!!!

sasa kwa kuwa hatuwezi sema that is super natural ..ni wazi kuwa Mkurugenzi wa usalama ..anatakiwa afanye enquiry ya haraka ...kuhusu ..utaratibu mzima wa ununuzi,na utunzaji wa magari ya rais..ikiwemo ufundi na vipuri vinavyotumika........kule uganda ..gari la museveni lilipata short ya umeme likaungua ....kikosi kizima cha ulinzi wa rais kikavunjwa ..kikawekewa uongozi mpya chini ya kanali muhoozi kainerugaba...sio suala dogo hata kidogo.....

......inaonekana kamati binafsi ya ufundi ya rais inafanya kazi kweli...jiulizeni ...aligutukaje kuwa tairi la excel itakatika...fikiria amechuka tu ..kusogea pembeni likakatika na kuchomoka doro!....na gari haikuwa na dalili yeyote ya tairi kukata viuno ....kama tunavyojuwa dalili kuu ya tairi inayochomoka.....ni wazi pia jk ana machalle!!!

...Mungu amlinde!!...
 
Yani hii habari imeniharaibia siku.
JK - Sack them all, NOW!!!
Sio hao tu wa magari bali wote wanaokudanganya na kukuchuuza!!!

chupaku tatizo ni kuwa hawezi kuwafukuza sababu sio yeye aliyewaweka hapo!
 
Mkuu anatumia Toyota Vx siku hizi Toyota wanavurunda magari yao wamesha zua matatizo makubwa kwenye magari yao

Mzee kama wewe unalijua hilo, iweje watu wa usalama wasilijue hilo?, wewe huoni kuna uzembe mkubwa kwenye hiki kitendo, ulishawahi kusikia wakati wowote haya matatizo yanatokea jumba jeupe, hapo ndio unaweza kupima useriousness wa Mkuu wa mjengo, hiyo ilikuwa ni hatari sana, kwa sababu magari hayo ya msafara wa raisi yanaenda si chini ya 80Km/h, nadhani kwa sababu alikuwa mjini ndio hivyo tena, sasa imagine ingekuwa kama kawaida yake ya kila jumapili kwenda kushuhudia ngoma kule Chalinze na msafara unakuwaga si chini ya 110km/h na tairi ndio imechomoka si ingekuwa balaa
 
Kwani gari ya Rais ina tofauti gani na Toyota Nadia ya my wife wangu mpaka isichomoke tairi??

Gari ya Rais kama gari lingine lolote lile linaweza kupata hitirafu.......so to me hii sio issue kabisa!!!
Is not true magari ya viongozi wakuu hasa marais huwa tofauti kidogo, mengi ni bullet proof na ukaguzi wake kabla ya safari ni tofauti na unaofanyia gari lako unaweza kuiona ni Toyota Nadia sawa na ya mai waifu wako lakini jaribu kupiga risasi kioo chake ni tofauti kabisa.
 
Back
Top Bottom