Sumbalawinyo
JF-Expert Member
- Sep 22, 2009
- 1,282
- 247
Rais wetu ni chaguo la Mungu ndio maana wachawi wanamloga sana.
Mara aanguke majukwaani, mara apigwe mawe kule Chunya, kila mkosi yeye.
Sisi wananchi tumemchoka, abaki yeye na huyo Mungu wake.
Mara aanguke majukwaani, mara apigwe mawe kule Chunya, kila mkosi yeye.
Sisi wananchi tumemchoka, abaki yeye na huyo Mungu wake.