hahahhahahahah umenifurahisha sana mtoa madaa, me nachoota mbona unajiua mwenye?Nimepata matatizo sana katika mahusiano lakini huwa napotezea sasa sijui ni nini tatizo wengine wananiambia nitampata atakayenipenda ila mpaka lini au tatizo sina hela kama ni hivyo sisi masikini hatuna haki katika mapenzi jamani wadada mtatuua
Wengine tulishazoea upweke,we zoea tu!
Taratibu basi usituanike bana, hizo lugha zetu. Watu tuna-push hammer, baba yangu anaitwa National Housing a.k a Msajili wa majumba. Watu tunakaa Oyistabayi...chezea sisi weye..!.labda huna pesa halafu una mabobishi sana.........namaanisha....kuna wanaume hawana hata kumi.....lakini atajidai anasukuma hammer.....yeye kwao ndio sijui Masaki........au Njiro.......yeye hana shida ndogo ndogo........mtu wa hivi wanawake huwa tunacheza nae kama toy.....
hahahhahahahah umenifurahisha sana mtoa madaa, me nachoota mbona unajiua mwenye?
kuwa mvumilivu ikibidi kaa bila demu utafika tu muda wa wewe kupata mwenzi tena shukuru sana wanakuumiza wanasepa imagine ndio umeoa halaf ndio anakuumiza, Mungu atakupa mana mke mwema anatoka kwake, be patient man