ABEL NESTORY
Member
- Oct 12, 2012
- 43
- 34
habari zenu naomba mnisaidie je hivi ili upate mkopo katika chuo ni lazima ufungue account katika bank fulani? au je mikopo ya wanafunzi inawahi kuingia katika bank gani maana nimesikia watu wakisema kuwa ni lazima ufungue account katika bank fulani ndyo unapato mkopo haraka