TabletFellow
JF-Expert Member
- May 17, 2011
- 918
- 272
Wakuu sorry kuuliza
KUna waziri mmoja (wakati huo) mtoto wake aliua live na picha zikabandikwa, tena waliteka nyara kabla ya kuua.... nijuavyo mimi ile kesi ilihusisha dhuluma,
Naomba mwenye updates jamani, kwani kuna kila dalili yule mama mhusika wa shughuli ile, anaendeleza dhuluma mno kama vile kule kuua kulichochea rasmi dhuluma
KUna waziri mmoja (wakati huo) mtoto wake aliua live na picha zikabandikwa, tena waliteka nyara kabla ya kuua.... nijuavyo mimi ile kesi ilihusisha dhuluma,
Naomba mwenye updates jamani, kwani kuna kila dalili yule mama mhusika wa shughuli ile, anaendeleza dhuluma mno kama vile kule kuua kulichochea rasmi dhuluma