Hebu fafanua mkuu duh!
Unajua inasemekana kwenye mahusiano sio vizuri sana muwe very common kwenye mambo mengi wataalam wanasema hiyo relationship haiwezi ku work. Sasa humu wengi ni wale tunaoona mambo na kutafakari kwa kina na kujaribu kujenga hoja na kuitetea kwa kila hali, sasa kama ndio mke na mume si kila siku kutakuwa na ubishi usioisha maana hakuna atakayekuwa tayari ku give up
Kweli eeh? I need a mke from JF
Preta mbona mie simo kwenye kamati? Inabidi na mi nitafute mchumba humu sasa
Salaaaam kwenu nyote wandugu, nilikuwa napita tuu ila nitarudi tena baadaye........
Unataka kuolewa mara ngapi?we nawe....nikupe taarifa usiyoijua.....nategemea kufunga ndoa hivi karibuni na mwanaJF mwezangu na kikao cha harusi ni leo wanakamati wakiwa ni JF members.....JF IS BEYOND KEYBOARDS bana
mungu mkubwa. Wa ubani nyönga mkalia figo ushajitokeza.Kesho tuanze vikao. Ndoa mpwapwa.Funga na mimi Husninyo