afrodenzi
Platinum Member
- Nov 1, 2010
- 18,145
- 9,207
Kati ya hao wadada watatu kuna mmoja anaitwa rebeca..ingekuwa sheria za JF zinaruhusu ningem disclose!!!
tumuombe tu ajitaje mwenye ..
au we wasemaje??
Kati ya hao wadada watatu kuna mmoja anaitwa rebeca..ingekuwa sheria za JF zinaruhusu ningem disclose!!!
Itakuwa vizuri...tumuombe tu ajitaje mwenye ..
au we wasemaje??
Babu huo uzi sintoukosa hahahh
asante Bibi alipenda zawadi yake??
Rebeca mpendwa wetu, mbona unazidi kujiharibia tu?
Kwa kweli sina uhakika kama mchumba wako atatokea humu JF...
- We uliingia humu eti unatafuta mchumba.
- Mara ukaanzisha thread ya kusema K yako ni kubwa, imechoka sana,
- alafu we huyo huyo unampenda mpenzi wako wa utotoni...
- sasa unakuja na picha ya mume wa watu eti unataka kua mke wa pili...
Umenikumbusha thread moja ya mdada aliyedai mume wake anapenda kutumia perfume zake za kike badala ya za kwake za kiume. Mdada alijitahidi kumwambia Mumewe kwamba atumie perfume zake lakini njemba ikaendelea kujishindilia perfume za mkewe. Alianzisha thread hapa sijui kama aliweza kupambana na tatizo lake.
huyu atakuwa ni mfa maji haishi kutapatapa ye kilakitu sawa anasahau kama alishafanya maombi mbele ya jamvi hili na ulivomuwekea thread zake zote hapo juu KATAHAYARIJE!!
We acha tu AD,
Nimejikuta nabaki kinywa wazi....You are amazing!!
Bibi alienda kusalimia wajukuu...akirudi nitamuonesha...Naamini ataipenda zawadi ya kajukuu!!
Sasa mkaka kama huyu unamtaka tukutafutie??
Babu DC!!
hahahah shosti sikujua ana mke,atanifanya nini kwani na yeye si mwanamke kama mie tu lol,haiwezekani mwanaume mzuri kama huyu akawa na mmoja tu,mie najitolea kuwa wa pili lol
Rebeca mpendwa wetu, mbona unazidi kujiharibia tu?
Kwa kweli sina uhakika kama mchumba wako atatokea humu JF...
- We uliingia humu eti unatafuta mchumba.
- Mara ukaanzisha thread ya kusema K yako ni kubwa, imechoka sana,
- alafu we huyo huyo unampenda mpenzi wako wa utotoni...
- sasa unakuja na picha ya mume wa watu eti unataka kua mke wa pili...
huyu atakuwa ni mfa maji haishi kutapatapa ye kilakitu sawa anasahau kama alishafanya maombi mbele ya jamvi hili na ulivomuwekea thread zake zote hapo juu KATAHAYARIJE!!
hahhaahha...ni zaidi ya kutahayari,alidhani watu hawafuatiliii...watu wapo makini sana humu ndani!!! Ashukuriwe sana dada Mwali for the reminder,maana nilivyosoma tu nimesonyaaaaaaje!!!
Sasa kama uliwahi kusema una K kubwa
una hakika huyu jamaa ana Mb kubwa pia?
OTIS
uzuri wake upo kwenye nini rebeca?
we ndo yupi kati ya hao warembo hapo pembeni??
Jamaniii...ndugu zetu..tunawaheshimu sanaaaa...naona jamii forum haiko kwa ajili ya haya mambo....kuna mambo mengi sana ya kimapinduzi tunafanya humu ndanii...kwa mtindo huuu wa kuanza kusifiana nani handsome nani mrembo...hii serikali ya magamba haikawiii kusema forum yetu ni ya kiuni....mi nadhani haya mambo yana mahali pake na sio humu....jf tunasifika kwa hoja za kimapinduzi ndio maana hata makamu mwenyekiti wa magamba msekwa aliwahi kusema miongoni mwa maadui wakubwa wa chama cha magamba ni jamii forum...sasa naomba tusijiaribie credibility yetu jamanii..tuweke hoja za msingi......
Ni ushauri na maono yangu tu ndugu zangu sina nia mbaya.