hivi huyu mkaka.....

Status
Not open for further replies.
Sasa kama uliwahi kusema una K kubwa
una hakika huyu jamaa ana Mb kubwa pia?
OTIS
 
Babu huo uzi sintoukosa hahahh
asante Bibi alipenda zawadi yake??


We acha tu AD,

Nimejikuta nabaki kinywa wazi....You are amazing!!

Bibi alienda kusalimia wajukuu...akirudi nitamuonesha...Naamini ataipenda zawadi ya kajukuu!!

Sasa mkaka kama huyu unamtaka tukutafutie??


Babu DC!!
 
Rebeca mpendwa wetu, mbona unazidi kujiharibia tu?
  • We uliingia humu eti unatafuta mchumba.
  • Mara ukaanzisha thread ya kusema K yako ni kubwa, imechoka sana,
  • alafu we huyo huyo unampenda mpenzi wako wa utotoni...
  • sasa unakuja na picha ya mume wa watu eti unataka kua mke wa pili...
Kwa kweli sina uhakika kama mchumba wako atatokea humu JF...


huyu atakuwa ni mfa maji haishi kutapatapa ye kilakitu sawa anasahau kama alishafanya maombi mbele ya jamvi hili na ulivomuwekea thread zake zote hapo juu KATAHAYARIJE!!
 
Umenikumbusha thread moja ya mdada aliyedai mume wake anapenda kutumia perfume zake za kike badala ya za kwake za kiume. Mdada alijitahidi kumwambia Mumewe kwamba atumie perfume zake lakini njemba ikaendelea kujishindilia perfume za mkewe. Alianzisha thread hapa sijui kama aliweza kupambana na tatizo lake.

MMH ukiwa na mume wa type hii anayepaka perfume za kike huyo ujue anakuwa na mademu wa nje ambao wanaperfume za kike na wanakumbatiana hata akiachiwa perfume ya hawara akirudi home anajitetea nimepaka perfume ya kike home wengi ni wakware
 
huyu atakuwa ni mfa maji haishi kutapatapa ye kilakitu sawa anasahau kama alishafanya maombi mbele ya jamvi hili na ulivomuwekea thread zake zote hapo juu KATAHAYARIJE!!

hahhaahha...ni zaidi ya kutahayari,alidhani watu hawafuatiliii...watu wapo makini sana humu ndani!!! Ashukuriwe sana dada Mwali for the reminder,maana nilivyosoma tu nimesonyaaaaaaje!!!
 
We acha tu AD,

Nimejikuta nabaki kinywa wazi....You are amazing!!

Bibi alienda kusalimia wajukuu...akirudi nitamuonesha...Naamini ataipenda zawadi ya kajukuu!!

Sasa mkaka kama huyu unamtaka tukutafutie??


Babu DC!!

Nashukuru kusikia umependa..
dahhh babu Kijana ni mzuri lakini
kwangu HAPANA.. hahahahah lol
 
hahahah shosti sikujua ana mke,atanifanya nini kwani na yeye si mwanamke kama mie tu lol,haiwezekani mwanaume mzuri kama huyu akawa na mmoja tu,mie najitolea kuwa wa pili lol

uzuri wake upo kwenye nini rebeca?
 
Rebeca mpendwa wetu, mbona unazidi kujiharibia tu?
  • We uliingia humu eti unatafuta mchumba.
  • Mara ukaanzisha thread ya kusema K yako ni kubwa, imechoka sana,
  • alafu we huyo huyo unampenda mpenzi wako wa utotoni...
  • sasa unakuja na picha ya mume wa watu eti unataka kua mke wa pili...
Kwa kweli sina uhakika kama mchumba wako atatokea humu JF...

wewe dada acha kunywa mataputapu,mie niliiingia kutafuta mchumba humu lini???? au unatafuta kijanja??na hata kama ingekuwa kweli kuwa natafuta mchumba,nikijiharibia wewe inakuhusu nini acha zako....niko hapa JF kujifurahisha....siko hapa kujipotray am perfect woman like some of you potray yourselves!!!!
 
huyu atakuwa ni mfa maji haishi kutapatapa ye kilakitu sawa anasahau kama alishafanya maombi mbele ya jamvi hili na ulivomuwekea thread zake zote hapo juu KATAHAYARIJE!!

hunijui,sikujui na itabaki kuwa hivyo kaka unitue eeeh,hizi assumptions zako zinabaki kwenye hilo bichwa lako lisilofikiri.....lini nilitafuta mchumba humu kama hujui kutafuta threads za mtu nenda kwenye profile ya mtu angalia stated threads...halafu useme hio niliyotafuta mchumba ilikuwa lini????acheni kudandia treni kwa mbele watu wazima hovyooooo!
 
hahhaahha...ni zaidi ya kutahayari,alidhani watu hawafuatiliii...watu wapo makini sana humu ndani!!! Ashukuriwe sana dada Mwali for the reminder,maana nilivyosoma tu nimesonyaaaaaaje!!!

acha kudandia treni kwa mbele,huna hata haya..eti wanafuatilia,wanafuatilia nini sasa.......kwani nina lipi la kuficha mpaka niwaogope nyie vivuli?
 
Jamaniii...ndugu zetu..tunawaheshimu sanaaaa...naona jamii forum haiko kwa ajili ya haya mambo....kuna mambo mengi sana ya kimapinduzi tunafanya humu ndanii...kwa mtindo huuu wa kuanza kusifiana nani handsome nani mrembo...hii serikali ya magamba haikawiii kusema forum yetu ni ya kiuni....mi nadhani haya mambo yana mahali pake na sio humu....jf tunasifika kwa hoja za kimapinduzi ndio maana hata makamu mwenyekiti wa magamba msekwa aliwahi kusema miongoni mwa maadui wakubwa wa chama cha magamba ni jamii forum...sasa naomba tusijiaribie credibility yetu jamanii..tuweke hoja za msingi......

Ni ushauri na maono yangu tu ndugu zangu sina nia mbaya.

umesikika lol,ila siasa wengine tuna aleji nazo...wacha tuchill tu kwenye majukwaa mengine,hilo la siasa tunawaachia nyie.
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom