Acha kubabaikia mabrazameni! ..... mara akuage naenda kusuka!! ntarudi baada ya masaa sita.
hahahahahahah umeua aisee!!!Lol! Mara ukitoka kuoga keshakuwahi na kibanio cha nywele cha njano na yeye ka-match na tshirt yake wakati wewe ulitaka ku-match na leggings! Kaazi kweli!
Rebeca mpendwa wetu, mbona unazidi kujiharibia tu?
Kwa kweli sina uhakika kama mchumba wako atatokea humu JF...
- We uliingia humu eti unatafuta mchumba.
- Mara ukaanzisha thread ya kusema K yako ni kubwa, imechoka sana,
- alafu we huyo huyo unampenda mpenzi wako wa utotoni...
- sasa unakuja na picha ya mume wa watu eti unataka kua mke wa pili...
hahahahahahah umeua aisee!!!
Hahahahahaha lol! Kweli JF ni burudani ya aina yake!!!....Weye Mwali likaanguka varangati la kuvutana nywele na ngumi zilizoshiba mie siji kuamulia maana uchokozi umeuanza mwenyewe lol! hahahahah! Duh!
Mamii, ukiwa na mwanaume wa hivi shurti kila mtu awe na dressing table yake! Hakawii kuwa anakomba mkorogo, na si unajua mkorogo hadi uweke order kwanza? Na jeans ukijinunulia nzuri siku moja moja anaruka nayo. Mwanaume wa hivi ni huduma kama ilivyo kwa mama mchungaji!
King'ast mwenzio sina mbavu huku, lol. Usishangae siku moja ukakuta na makufuli yako kavaa.
Mamii, ukiwa na mwanaume wa hivi shurti kila mtu awe na dressing table yake! Hakawii kuwa anakomba mkorogo, na si unajua mkorogo hadi uweke order kwanza? Na jeans ukijinunulia nzuri siku moja moja anaruka nayo. Mwanaume wa hivi ni huduma kama ilivyo kwa mama mchungaji!
Mi sijasema kwa ubaya kaka yangu BAK, nimesema kwa uchungu maana alipoanzisha thread ya kutafuta mchumba alionekana kumaanisha na sasa ameanza kuharibu.Hahahahahaha lol! Kweli JF ni burudani ya aina yake!!!....Weye Mwali likaanguka varangati la kuvutana nywele na ngumi zilizoshiba mie siji kuamulia maana uchokozi umeuanza mwenyewe lol! hahahahah! Duh!
Wala sio uchokozi King'asti. Kama unabisha soma hii thread ...Inabidi akae karibu na mie nimuazime binduki aisee! Manake sio uchokozi tu, anafanya na umbea na uchochezi!
Mi sijasema kwa ubaya kaka yangu BAK, nimesema kwa uchungu maana alipoanzisha thread ya kutafuta mchumba alionekana kumaanisha na sasa ameanza kuharibu.
Wala sio uchokozi King'asti. Kama unabisha soma hii thread ...
Rebeca mpendwa wetu, mbona unazidi kujiharibia tu?
Kwa kweli sina uhakika kama mchumba wako atatokea humu JF...
- We uliingia humu eti unatafuta mchumba.
- Mara ukaanzisha thread ya kusema K yako ni kubwa, imechoka sana,
- alafu we huyo huyo unampenda mpenzi wako wa utotoni...
- sasa unakuja na picha ya mume wa watu eti unataka kua mke wa pili...
Nimeshaona wabaya wangu humu, wanataka kunichonganisha na Rebeka. Shindwaaaa!hahhahah mie nimepita tu sijaona kitu
Lol! Mara ukitoka kuoga keshakuwahi na kibanio cha nywele cha njano na yeye ka-match na tshirt yake wakati wewe ulitaka ku-match na leggings! Kaazi kweli!
Rebeca mpendwa wetu, mbona unazidi kujiharibia tu?
Kwa kweli sina uhakika kama mchumba wako atatokea humu JF...
- We uliingia humu eti unatafuta mchumba.
- Mara ukaanzisha thread ya kusema K yako ni kubwa, imechoka sana,
- alafu we huyo huyo unampenda mpenzi wako wa utotoni...
- sasa unakuja na picha ya mume wa watu eti unataka kua mke wa pili...