Muarubaini
JF-Expert Member
- Apr 7, 2012
- 222
- 48
Mwalimu alisema Ikulu sio sehemu ya kukimbilia, ila cha kushangaa mtajwa hapo juu anautaka urais kwa nguvu zote.
Kama nia ni kusaidia nchi naamini kwa nafasi yake alio nayo anaweza tu sio mpaka awe rais.
Jaman watu wanaotaka ikulu kwa gharama yoyote ni kuwaogopa kama UKIMWI.
Kama nia ni kusaidia nchi naamini kwa nafasi yake alio nayo anaweza tu sio mpaka awe rais.
Jaman watu wanaotaka ikulu kwa gharama yoyote ni kuwaogopa kama UKIMWI.