MUREFU
JF-Expert Member
- Oct 1, 2010
- 1,331
- 349
WanaJF salama wote ninaomba ushauri wenu wanandugu mara baada ya kupgwa chn valentine ya mwaka jana co haba tia maji tia maji nikapata mwngne hapa katkat ila tatzo lililopo ni kwamba huyu m2 anasababu cjapata kuona. Mana kila nikipanga 2onane inakuwa tatzo mana hakos sababu. Unaweza kumwambia njoo 2onane leo atakuja na rafiki zake au atakuja na haraka zake kias kwamba mtashndwa kuongea kwa uzur. Je nifanyeje mana nimejitahd kutafuta kila njia lakn wap na hakuna siku ambayo hana sababu au haraka. Yan kama ni mahusiano ye2 yanaishia kwny simu 2uu na kwny email je wanathinker nifanyeje?