The_Emperor
JF-Expert Member
- Mar 23, 2012
- 871
- 125
Kwanza kabisa niwasalimu wote na poleni na majukumu ya kujenga taifa letu;Nilikua na rafiki yangu wa kike,nilimpenda kweli awe mpenzi wangu ila sikuwahi kumwambia kwa kuwa tulikuwa tumezoeana sana sana kama marafiki wa kawaida!Basi sikujua kumbe na yeye alikuwa na hisia kama zangu,kwa mdomo wake akawa ameniwahi kuniambia amefall in love na mimi;Ila mimi kwa ujinga wangu nikajifanya kama nilikua sina wazo la kuwa naye;Basi nikawa namchenga kama miezi 2 ingawaje nilikua nampenda siku zote hizo!Cha ajabu baada ya kipindi hicho nikamwambia sasa tunaweza kuanzisha mahusiano;Alichonijibu sikutegemea,alisema kwa kujiamini"We can be just friends"Nilibembeleza na kutoa machozi mtoto wa kiume lakini wapi!Mpaka sasa umepita mwezi1 na sioni mabadiliko!Je,huyu msichana alinipenda kweli?