Nimemsikia kamanda mmoja huko Ruvuma anaongea eti kuna walimu wanawafanya wanafunzi waandamane na eti ana wataka walimu waache. Swali ameambiwa na watoto kuwa wametumwa na walimu au ndo kujipendekeza apandishwe cheo.
Atuache walimu na serikali tudai haki yetu kwani yeye ni msemaji wa wizara ya elimu? Watu wengine kimbelembele tu. Kama wao polisi wanajipendekeza kwa kutimiza matakwa ya serikali hata kama ni maovu akae kimya. Sijui yuko dunia gani halafu anaonekana kijana bado, akizeka sijui itakuwaje
Atuache walimu na serikali tudai haki yetu kwani yeye ni msemaji wa wizara ya elimu? Watu wengine kimbelembele tu. Kama wao polisi wanajipendekeza kwa kutimiza matakwa ya serikali hata kama ni maovu akae kimya. Sijui yuko dunia gani halafu anaonekana kijana bado, akizeka sijui itakuwaje