BAGAH
JF-Expert Member
- Jan 17, 2012
- 4,523
- 1,060
endapo upo na majirani zako...ni vijana wanaishi pamoja,wewe uko single boy/girl
hawa wandugu huwa wanapeana vichapo vya baba na mama!...
na katika kamchezo kao huwa wakinogewa wanatoa MIGUNO/ VILIO VYA MAHABA!
eti wewe wa chumba cha jirani (ambaye unajikuta uko mwenyewe) either unataka kusoma au kulala au kuangalia movie huwa unajisikiaje/utafanya nini?au utajisikiaje kama haijawahi kukutokea...
mimi mwenzenu fasta huwa naenda zangu MEEDA kwa babu...buku mbili zangu mkononi, nagonga copy.!
hawa wandugu huwa wanapeana vichapo vya baba na mama!...
na katika kamchezo kao huwa wakinogewa wanatoa MIGUNO/ VILIO VYA MAHABA!
eti wewe wa chumba cha jirani (ambaye unajikuta uko mwenyewe) either unataka kusoma au kulala au kuangalia movie huwa unajisikiaje/utafanya nini?au utajisikiaje kama haijawahi kukutokea...
mimi mwenzenu fasta huwa naenda zangu MEEDA kwa babu...buku mbili zangu mkononi, nagonga copy.!