Ms Judith
JF-Expert Member
- Dec 24, 2010
- 2,563
- 918
siku hizi huwezi kusikia wanafunzi wa hapa kwetu wakiandamana kupinga mambo ya kitaifa kama malipo wa dowans nk. utawasikia tu baadhi ya waalimu wao kama Prof Baregu, Prof Shivji nk wakizungumza na wanhabari, ila likija suala la mikopo inayotumbukia mifukoni mwao wako tayari hata kufa! nasikia wengine mimba zinaharibika wakipigania kuongezwa viwango vya hiyo mikopo.
mi naamini baadhi ya harakati zikifanywa vizuri na wanafunzi zinaweza kuwa na tija kubwa sana kwa taifa. mfano wanafunzi wa UDOM na vyo vingine vya dodoma wanaweza hata kwenda kuzingira ukumbi wa bunge linapojadiliwa suala muhimu la kitaifa kama dowans ili kushinikiza bunge kuwajibika kwa wananchi badala ya kuwafurahisha wakubwa wa serikali
sasa maswali yangu ni haya:
1.
tabia kama hii haiwezi kuwa ni kielelzo cha aubinafsi wa hao wadogo zetu?
2.
lini wataanza kugoma na kuandamana kushinikiza masuala muhimu ya kitaifa kupewa uzito wake na wakubwa?
mi naamini baadhi ya harakati zikifanywa vizuri na wanafunzi zinaweza kuwa na tija kubwa sana kwa taifa. mfano wanafunzi wa UDOM na vyo vingine vya dodoma wanaweza hata kwenda kuzingira ukumbi wa bunge linapojadiliwa suala muhimu la kitaifa kama dowans ili kushinikiza bunge kuwajibika kwa wananchi badala ya kuwafurahisha wakubwa wa serikali
sasa maswali yangu ni haya:
1.
tabia kama hii haiwezi kuwa ni kielelzo cha aubinafsi wa hao wadogo zetu?
2.
lini wataanza kugoma na kuandamana kushinikiza masuala muhimu ya kitaifa kupewa uzito wake na wakubwa?