Hivi huu mkonga wa taifa umeshaanza kufanya kazi? Habari za mitaani ni kuwa unafanya kazi kupitia TCCL, kama habari hizo ni za kweli, basi mkonga wetu wa taifa la tanzania umechakachuliawa.kwani speed na uwezo wa internet zilizopo haziwezi kufanya kwa ufanisi yale tunayoyategemea. Km : telemedicine nk naomba kusaidiwa kujua mustakabali wa huduma za mkonga huu kama zipo, zinafanya kazi na je zinafanya kwa ufanisi na ni jinsi gani ya kuzipata kama zinafanya kiufanisi?