EJM_
JF-Expert Member
- Jul 8, 2011
- 3,836
- 2,091
tawapa ka stori kamoja ili niweke clear haka ka thread,
"Kwenye account yangu ya fb kuna msichana ambaye basically aliwahi kuwa gf wangu, yes she was my first love and probably the best love ever for me. Sasa baada ya kubreak yapata miaka kadhaa sasa tumebaki kuwa marafiki na huwa tunawasiliana mara kadhaa kutakiana hali. Kila mmoja ameendelea na maisha yake na when we talk ni salamu tu then basi, maana kwa sasa yuko nje ya nchi kwa masomo.
Sasa for a while nimekuwa nahisi the current bf wake anaingia kwenye fb account yake so kuna wakati anaweza kuwa online tukachat lakini najua this is not the one. Sasa friday nikiwa online naye akaingia, mi nilipomuona nikampa hi then nikamuwish nice weekend kwa wakati huo sikujua ni nani kama ni yeye au bf wake (huyo bf wake ni mnigeria)
Basi from nowhere yule jamaa akaanza kunishushia matusi makali makali, dah kiukweli i tried to be a gentleman ila nikajiuliza where the hell all those came from! I broke with the girl kwa zaidi ya miaka minne and theres nothing going on maana hata kuongea tunaweza kuongea baada ya miezi kadhaa so i dont know what was the reason.
Baadae jamaa akaniblock huko kwenye fb ya gf wake mi nikasema hamna taabu, ila jioni nikampigia huyo gf wake nikamwambia tu one thing "Mwambie huyo bf wako akue" nikatania pia, "if he doesnt i will take u back coz i know i can. Ka story kanaishia hapa.
Sasa swala la msingi hapa ni kuwa, what do you feel mpenzi wako anapoendelea kuongea na ex?
"Kwenye account yangu ya fb kuna msichana ambaye basically aliwahi kuwa gf wangu, yes she was my first love and probably the best love ever for me. Sasa baada ya kubreak yapata miaka kadhaa sasa tumebaki kuwa marafiki na huwa tunawasiliana mara kadhaa kutakiana hali. Kila mmoja ameendelea na maisha yake na when we talk ni salamu tu then basi, maana kwa sasa yuko nje ya nchi kwa masomo.
Sasa for a while nimekuwa nahisi the current bf wake anaingia kwenye fb account yake so kuna wakati anaweza kuwa online tukachat lakini najua this is not the one. Sasa friday nikiwa online naye akaingia, mi nilipomuona nikampa hi then nikamuwish nice weekend kwa wakati huo sikujua ni nani kama ni yeye au bf wake (huyo bf wake ni mnigeria)
Basi from nowhere yule jamaa akaanza kunishushia matusi makali makali, dah kiukweli i tried to be a gentleman ila nikajiuliza where the hell all those came from! I broke with the girl kwa zaidi ya miaka minne and theres nothing going on maana hata kuongea tunaweza kuongea baada ya miezi kadhaa so i dont know what was the reason.
Baadae jamaa akaniblock huko kwenye fb ya gf wake mi nikasema hamna taabu, ila jioni nikampigia huyo gf wake nikamwambia tu one thing "Mwambie huyo bf wako akue" nikatania pia, "if he doesnt i will take u back coz i know i can. Ka story kanaishia hapa.
Sasa swala la msingi hapa ni kuwa, what do you feel mpenzi wako anapoendelea kuongea na ex?