Kiresua
JF-Expert Member
- May 13, 2009
- 1,184
- 259
Wanajamvi?
Nimekuwa nikifuatilia kwa makini siasa za Arumeru Mashariki kupitia vyombo mbalimbali vya Habari, lakini nimedauti sana juu ya taarifa zinazorushwa na ITV kuihusu CCM, mara nyingi sana warudia picha za mikutano iliyopita kurusha habari mpya. Nafadhaika sana na hawa watangazaji wavituo vya habari binafsi (tilitegemea wangekuwa huru lakini Ka-badasha? mashalaaa!!!) hakuna asiyependa hela lakini miiko ya kazi lazima ingezingatiwa ili kulinda utu na fani husika!!! hebu hata leo angalia taarifa ya habari ya leo kama sio picha ambazo iliwahi kuziona au kama sio basi leo wamekuwa na turnout nzuri!!
Hili limetokea maranyingi sana nikavumilia sana laikini imezidi sasa na nimeona niliweke hapa... au ni mm mwenyewe naona vibaya? kuna jamaa aliwahi kupost kuhusu picha iliyoonyeshwa ikiwa ni kiangazi wakati siku hiyo kulikuwa na mvua na zaidi baridi ya kufa mtu.
Mambo haya yangeonyeshwa na TBC nisinge shangaa kabisa kwani tunajua ni kituo kilichoolewa na nani! lakini ITV shame on you!!!
Nimekuwa nikifuatilia kwa makini siasa za Arumeru Mashariki kupitia vyombo mbalimbali vya Habari, lakini nimedauti sana juu ya taarifa zinazorushwa na ITV kuihusu CCM, mara nyingi sana warudia picha za mikutano iliyopita kurusha habari mpya. Nafadhaika sana na hawa watangazaji wavituo vya habari binafsi (tilitegemea wangekuwa huru lakini Ka-badasha? mashalaaa!!!) hakuna asiyependa hela lakini miiko ya kazi lazima ingezingatiwa ili kulinda utu na fani husika!!! hebu hata leo angalia taarifa ya habari ya leo kama sio picha ambazo iliwahi kuziona au kama sio basi leo wamekuwa na turnout nzuri!!
Hili limetokea maranyingi sana nikavumilia sana laikini imezidi sasa na nimeona niliweke hapa... au ni mm mwenyewe naona vibaya? kuna jamaa aliwahi kupost kuhusu picha iliyoonyeshwa ikiwa ni kiangazi wakati siku hiyo kulikuwa na mvua na zaidi baridi ya kufa mtu.
Mambo haya yangeonyeshwa na TBC nisinge shangaa kabisa kwani tunajua ni kituo kilichoolewa na nani! lakini ITV shame on you!!!