upele
JF-Expert Member
- Mar 3, 2010
- 364
- 31
jamani nielewesheni hawa jamaa wameanzia wapi maana kila kukicha kunazaliwa wapya au kwa kuwa uchaguzi unakaribia walikuwepo wapi miaka yote au ndio wameona makula ni hapo ha wao.
maana watanzania kwa kupigana changa la macho si haba wapo akili yanguhainipi kabisa
Conquest-just TUKTA OR TRACTOR(ULIMI AUHISHI MATE)
maana watanzania kwa kupigana changa la macho si haba wapo akili yanguhainipi kabisa
Conquest-just TUKTA OR TRACTOR(ULIMI AUHISHI MATE)